habari wanajukwaa mimi ni blogger mchanga ninaejaribu kuziendea ndoto zangu nilifungua app siku mingi kidogo hapo nyuma sasa ni zaidi ya miezi miwili nimefikisha usd 10 ambapo kwa sheria za google natakiwa kupokea pin katika sanduku la barua lakini mimi sina naomba msaada yeyote anaeweza...
Makumi ya Wakristo waliuawa na kujeruhiwa katika shambulio la wapiganaji wa Islamic State ndani ya kanisa moja mashariki mwa Kongo.
Kongo - Kivu Kaskazini - Shirika la Amaq: juzi, mlipuko mkali ulipiga kanisa la Kikristo katika eneo la "Beni" katika jimbo la "Kivu Kaskazini", mashariki mwa...
Kama kichwa cha chapisho kinavyojieleza nina samsung a12 nimevuruga patten nahitaji kui hardreset but inakataa kila nikijaribu naombeni msaada hata wa program kama ipo
kama nilivyozungumza hapo katika kichwa cha chapisho mimi ni mmiliki wa blog ya michezo, nahitaji mtu atakae weza kunitengenezea app ya android ambayo itakuwa ina sehemu ya live score pamoja na sehemu ya kusikilizia radio, blog yangu ni hii www.binruwehy.blogspot.com ipo katika platform ya blogger
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.