Recent content by xhmudar255

  1. X

    Laptop inajizima yenyewe.

    jamani fundi wa hardware atuwekee no hapa.. nna shida na screen ya hp 250 g4..naomba nijulishe bei kwa mpya.. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. X

    Napataje fundi wa kufix screen ya hp 250 g4?

    Nimemwazima mtu pc yangu, sijui kafanyaje but screen imeharibika, nahitaji kuifix nahitaji kupata screen mpya ni hp 250 g4.. kwa fundi anaeweza fix anicheki 0755967517..iko as kwenye video ninayoatach hapa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. X

    tcu sasa hapa mmetutoa gizani lkn..

    kufatia tangazo la bodi ya vyuo vikuu kuhusu admission 2017/18 sasa kidogo mmetufungua macho..lakini tatizo ambalo hamjaongelea kabxa ni bei ya form za application kutoka higher learning institutions kuna baadhi ya vyuo form ni mpaka 50,000 lower price nmeona 20,000 malofa tutaweza apply chuo...
  4. X

    Matokeo ya kidato cha sita 2017 yatatoka lini?

    officially confirmed 21st July Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
  5. X

    Mahakama ya Kisutu yawaachia huru Masamaki na wenzake watano

    apo inamaanixha kwamba hao walitumika tuu.. wenyewe wapoo na hawagusiki. Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
  6. X

    Utorrent turbo booster 4.0.5.0 full version free download

    aloo tuwekee bax link apa tuinywe.. coz hawa wazungu bhana naona wanaendelea tuu kudominate.. inabidi nasisi tusaidiane kwenye mambo madogo kama haya.. Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
  7. X

    Utorrent turbo booster 4.0.5.0 full version free download

    aloo me natafuta activator ya windows 10 kwenye torrents mwenywe link uhakika atuwekee please.. ahsante Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
  8. X

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    broo i wonna do these for real.. tena with you.. sasa ntakupataje bro..
  9. X

    business

    anaeuza used monitor ya desktop lower resolution.. plz niwekee namba hapa.. au kama unajua mtu anaeuza iyo used electronics mtonye naitaji.. nipo dar es Salaam..
  10. X

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    kulipa? mtoto mzuri jaki me nalipa kabisa usihofu pesa sio tatizo apa.
  11. X

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    jf ya sasa mbovu sio kama ya miaka mitatu ilopita.
  12. X

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    ugali alokula zukabak kenya akifika marekan atahadithia.
  13. X

    jamani hizi coke free WiFi

    msaada hizi coke free WiFi je kuna way nyingine ya kuunganisha au ni kama kawaida unawasha WiFi then unaconnect? mfano me nmejalibu kuitumia bhana na nipo na hotspot tower yenyewe kama 2 or 5 m lakini mrejesho ni kwamba unaambiwa out of range au haiconnect kabisa, kwa anaefaham atujulishe...
Back
Top Bottom