Recent content by xcul123

  1. X

    Subaru legacy b4 for sale -CUN

    Clean, excellent condition-Only for serious buyers...0655647760
  2. X

    Subaru Legacy b4 for sale

    Clean, good condition
  3. X

    Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    Hujaelewa mkuu. Huwezi kufananisha maembe na wali, fananidha makundi yanayoendana and that's why udom umefanishwa na vyuo vingine na hao wachungaji watafananishwa na wachungaji wengine. Binafsi sijawaelewa udom kwa walichofanya.
  4. X

    Katika hili, Zitto Zubery Kabwe amefuata Nyayo za Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

    Hata zitto alikwenda mahakamani lakini akashindwa so rudia tena analysis skills zako. Bado mapema mno kuamini alichofanya zitto kama ni cha kijasiri ama La.
  5. X

    Mbowe atangaza Vita na Zitto katika Vikao vya ndani vya Chama

    Hawa wanaosema Mbowe kasema Zitto is who sijui walikuwa wanadikiliza kitu tofauti na kilichokuwa attached au vipi, au labda kizungu nacho shida kwao lakini maamuzi magumu ni muhimu sana. Hivyo nakisifuu sana chama cha CHADEMA kwa maamuzi
  6. X

    Video ya Ommy Dimpoz imetulia sana

    Video safi sana ila nyimbo ni mbaya na audio siyo hit kabisa
  7. X

    Waliokuja Arusha leo poleni kwa mabomu

    Watu wanaposema ndiyo matunda ya chadema au kushabikia chama kwani polisi ni Wa chadema au wa serikali ya CCM ? Huko morogoro wanapouana kila Leo na manyara kote wabunge wake ni chadema? CCM imefika ukomo wa fikra. Sishabikii chama chochote lakini natamani kuona mabadiliko ya vyama vinavyoshika...
  8. X

    UDSM mko wapi, shindano la ubunifu?

    Mimi ni wa UDSM na nnauona utofauti wangu na wengine kwenye sekta niliyopo. Uelewa wangu na wengine waliosoma vyuo vingine hasa vya ndani nauona. Japo siyo kwa ujumla kuna wanaotoka vyuo vingine lakini wako vizuri coz walijiongeza. Ukizingatia na kuexplot opportunities zilizopo UDSM esp on extra...
  9. X

    Mwafrika kawa CEO wa Credit Suisse

    Ila jamaa yuko vizuri kiutendaji japo bahati ipo kwake pia na ametoka ukoo wa kiuongozi kule Ivory Cost
  10. X

    Kigogo wa Escrow asema alitumia hela kumuuguza mkewe

    Ni kweli mke wa huyu kigogo alifariki muda ule ambao mgao ulipita na tukazika pale kinondoni na huyu jamaa yuko karibu sana na ruge. Jamaa tunamjua pale ofcn ni mchapa kazi mzuri mpaka boss wake anamchukia. Ila sasa hiyo issue nyingine ya escrow sijui.
  11. X

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    naomba kuuliza, mtanisamehe kama swali lilishaulizwa kabla, mfano gari ambayo ni ya mwaka 2006 na ina cc 2000 na CIF ni USD 3500 je gharama zake in total mpaka unaendesha inaweza kuwa kiasi gani. Na mchanganuo kama mnaweza kunisaidia pia
  12. X

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Jamani me naomba kuuliza, mtanisamehe kama swali lilishaulizwa kabla, mfano gari ambayo ni ya mwaka 2006 na ina cc 2000 na CIF ni USD 3500 je gharama zake in total mpaka unaendesha inaweza kuwa kiasi gani. Na mchanganuo kama mnaweza kunisaidia pia
  13. X

    Yaliyojiri mkutano wa CHADEMA kanda ya ziwa Victoria uwanja wa Furahisha

    Naamini hawa jamaa wote wataenda kupiga kura
Back
Top Bottom