Recent content by Xavee

  1. Xavee

    JamiiForums Tanzania JWTZ mnakubali vipi kuwa mateka wa Mafwele?

    Tehteheeee 😁😁😁😁 Wadau mnakomenti kwa hasira na mihemko bila kusoma jinsi gani katiba ibara ya 147 inawaunganisha JW, PT, MT... Msilaumu matembezi yao mnqonekana wajinga!!!
  2. Xavee

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimetukanwa sana jambo linatimia sasa

    huyo fala sijui kaandika nini...
  3. Xavee

    JamiiForums Tanzania Gen Z wa Nepal Vs Gen Z wa Kenya; ina maana majeshi ya kiafrika ni imara au katili?

    Inawezekana sana tuu. Kila mtu asikae ndani atoke nje amuangalie jirani yake. Hakuna kupanga seheu ya kukutania just msikae ndani. Hakuna polisi wala jeshi lolote linaweza kuwa kila mahali kuwarudisha watu ndani kwao......... Baada ya hapo ndio nguvu ya umma inaonekana.
  4. Xavee

    JamiiForums Tanzania Nchi inaliwa sana, wanakula hela yako wanakunja vidole vyote wanaacha cha katikati kimesimama kuwatukana wananchi

    Bomba inatoa maziwa na Asali. 😔😔😔
  5. Xavee

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Mwinyi: Tuna akaunti maalum ya kulipa madeni, nitaondoka madarakani sitaacha deni hata la Senti 5

    Likiisha wanaanza mchakato wa kudai mamlaka kamili na kuwa nchi kamili.
  6. Xavee

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro: Polisi wapata ajali

    Hao polisi waliopata ajali ni polisi wanafunzi, wananchi waliokuwa eneo la tukio wametoa msaada vizuri na kwa ushirikiano.... Njoo huku JamiiForums uone uone maoni ya wanajeshi wa mtandaoni wasiyemjua adui yao wanavyobwabwaja!!
  7. Xavee

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro: Polisi wapata ajali

    Duuh... Wewe jamaa, hivi upo nchi gani...??!! Hii Jf naona ni nchi nyingine kabisa.
  8. Xavee

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Asante Rais Trump mapendekezo yaliyotolewa na Marekani Kwa Tanzania ni Kilio na kusaga meno kwa CCM

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😬😬😬😂😂😂😂😂😂😂😂😂
  9. Xavee

    JamiiForums Tanzania Kesi ishakuwa ngumu hii, No Reforms No Election imeshawazidi nguvu System na CCM

    Kama 'kilaza'...
  10. Xavee

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wewe jamaa unaemsusa mkeo hapa Dodoma naomba tusilaumiane kwa kitakachotokea, tafadhali mrejee mkeo

    Shirika la Benki au??!
  11. Xavee

    JamiiForums Tanzania Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

    Umeleta kula 'tende' kinyumenyume...
  12. Xavee

    JamiiForums Tanzania Polisi na Magereza watunishiana Msuli Iringa

    Huyu anaitwa A/Insp Bright Mbwilo, kwa maelekezo ya Afande CGP, kishavuliwa Nafasi ya uongozi wa timu leo asubuhi, pia karudishwa kituoni kwake, na hadi jioni hii maktabu imeanza dhidi yake. Ameongea kihanarakati zaidi kuliko Nafasi yake kama mtendaji ndani ya serikali. Alishindwa kukemea...
  13. Xavee

    JamiiForums Tanzania Uhamiaji ni jeshi au idara ya kawaida?

    Uhamiaji imetolewa kwenye Majeshi....na sasa inatambulika kama idara.. Muongozo wa majeshi umetolewa kwenye katiba Ibara ya 147(4).
Back
Top Bottom