Mahusiano yyte yanayovunjika ni kushindwa kuwajibikiana wote wawili,aidha ww au yy.. Na ni bora kuavhwa kuliko kuacha..we endelea tu kudukua simu yake utuletee na utakachokiona huko
Wala usihangaike sana PM we nenda Ilula pale kwa Mzee Makanyaga basi.. Bahati mbaya amefariki lakini watoto wake bado wapo wanaendeleza alichokua anakifanya baba yao
Maswali kama haya ndio hanazid kuwapoteza kbsa kisiasa,wakat mnaijadili miaka miwili kuhusu neno mbwa wao wanaandaa ilani mpya ya 2030,baadae watakuja na neno lingine kushtuka uchaguz huu mnaqnza kulia lia kutafuta huruma yetu.
Punguzeni kushupalia vitu vdogo vdgo vinazid watoa kwe ye reli,na...
Furaha ya muhusika ipo ndani ya muhusika mwenyewe ila tatizo wewe hujaikubali furaha yako sasa unataka furaha kutoka nje, so kweli tafuta mtu akukojoze haswa mpaka ulegee na hakika utaanza kugain pole pole
We mbulula ukioa au kuolewa una pewa vyeti viwili,kimoja cha serikalin na kingine cha dhehebu unaloabudu... Na yte haya ndoa haiwez kuvunjika mpk mmoja aridhie,,haswa mwanamke..Unadhan kuvunja ndoa ya kikristo shughuli yake ndogo tu?? Labda mmoja afe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.