Recent content by X-men

  1. X-men

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Ww na lucas mwashambwa ni wale wale. unaona majibu yake yanaendana na swali aliloulizwa?
  2. X-men

    JamiiForums Tanzania Naendelea kuwaambia

    Mleta maada una umri gan ?
  3. X-men

    JamiiForums Tanzania Sharp Aquos

    Niliokota aquos R2 Kila fundi niliempelekea kuflash alichemka . Ni sim nzuri ila watu weng hawapendi single lain
  4. X-men

    JamiiForums Tanzania Urusi ilipozuia nafaka kelele zilikuwa kubwa.Israel imezuia vyakula vyote na maji wanaolia ni watu wa Gaza peke yao

    Hivyo vyombo vya habar vya kiyahudi na kimarekan vinasemaje kuhusu ugaid kama unavyosikia ww?
  5. X-men

    JamiiForums Tanzania Urusi ilipozuia nafaka kelele zilikuwa kubwa.Israel imezuia vyakula vyote na maji wanaolia ni watu wa Gaza peke yao

    Kwa akili zako siku za usoni utatimiza ndoto yako za kuwa gaidi mkubwa duniani, maana post zako zinawaza ugaidi 2
  6. X-men

    JamiiForums Tanzania Israel inasubiri mateka wake kwa njia ya mazungumzo. Kwa vita imeshindikana kuwapata

    Mbowe bhn sio gaidi alisingiziwa tu gaidi yupo humu humu JF kutwa nzima ni kuandika nyuzi za kigaidi. Mpaka mwaka huu uishe atakuwa kalipua kafiri wa kutosha afu anakuja kucelebrate humu JF.
  7. X-men

    JamiiForums Tanzania Israel kwenye kesi ya ICJ - nchi 52 kutoa ushahidi kuanzia Feb 19-26

    Eti nchi zote zipo upande wa hamas acha kudanganya umma.
  8. X-men

    JamiiForums Tanzania Siri nzito ya NATO imevuja; Kigogo wa NATO asilimu

    Siku hizi kusilimu ni siri nzito? duuh hatari!
  9. X-men

    JamiiForums Tanzania Zamani aliona madaftari mzigo, sasa anaona zege jepesi

    Sawa hata mimi pia kwa elim yngu ndogo ya 4m 4 niko kwny zege coz nataka kupata chochote. Kutokusoma sana mpaka level ya chuo haimanish nilikuwa spnd shule kuna changamoto nyng katk maisha ndo maana inabd 2fanye kaz za kila namna hata hzo saidia fundi ilimrad mkono uende kinywani
  10. X-men

    JamiiForums Tanzania Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

    Pole sana mkuu mkuu mungu ni mwema
  11. X-men

    JamiiForums Tanzania Zamani aliona madaftari mzigo, sasa anaona zege jepesi

    Mbn weng wamexoma afu kwnye zege tupo nao
  12. X-men

    JamiiForums Tanzania Mayowe ya watu wa Gaza ambayo watu wameziba masikio kuyasikiliza. Waomba msaada kwa mmoja tu

    Mungu wa wapalestina si DAGONI wa enzi za kina ghoriati au saiv amebadili jina
  13. X-men

    JamiiForums Tanzania Mayowe ya watu wa Gaza ambayo watu wameziba masikio kuyasikiliza. Waomba msaada kwa mmoja tu

    Sawa afisa habari wa hamas
Back
Top Bottom