Recent content by X-men

  1. X-men

    Sharp Aquos

    Niliokota aquos R2 Kila fundi niliempelekea kuflash alichemka . Ni sim nzuri ila watu weng hawapendi single lain
  2. X-men

    Urusi ilipozuia nafaka kelele zilikuwa kubwa.Israel imezuia vyakula vyote na maji wanaolia ni watu wa Gaza peke yao

    Hivyo vyombo vya habar vya kiyahudi na kimarekan vinasemaje kuhusu ugaid kama unavyosikia ww?
  3. X-men

    Urusi ilipozuia nafaka kelele zilikuwa kubwa.Israel imezuia vyakula vyote na maji wanaolia ni watu wa Gaza peke yao

    Kwa akili zako siku za usoni utatimiza ndoto yako za kuwa gaidi mkubwa duniani, maana post zako zinawaza ugaidi 2
  4. X-men

    Israel inasubiri mateka wake kwa njia ya mazungumzo. Kwa vita imeshindikana kuwapata

    Mbowe bhn sio gaidi alisingiziwa tu gaidi yupo humu humu JF kutwa nzima ni kuandika nyuzi za kigaidi. Mpaka mwaka huu uishe atakuwa kalipua kafiri wa kutosha afu anakuja kucelebrate humu JF.
  5. X-men

    Israel kwenye kesi ya ICJ - nchi 52 kutoa ushahidi kuanzia Feb 19-26

    Eti nchi zote zipo upande wa hamas acha kudanganya umma.
  6. X-men

    Siri nzito ya NATO imevuja; Kigogo wa NATO asilimu

    Siku hizi kusilimu ni siri nzito? duuh hatari!
  7. X-men

    Zamani aliona madaftari mzigo, sasa anaona zege jepesi

    Sawa hata mimi pia kwa elim yngu ndogo ya 4m 4 niko kwny zege coz nataka kupata chochote. Kutokusoma sana mpaka level ya chuo haimanish nilikuwa spnd shule kuna changamoto nyng katk maisha ndo maana inabd 2fanye kaz za kila namna hata hzo saidia fundi ilimrad mkono uende kinywani
  8. X-men

    Zamani aliona madaftari mzigo, sasa anaona zege jepesi

    Mbn weng wamexoma afu kwnye zege tupo nao
  9. X-men

    Mayowe ya watu wa Gaza ambayo watu wameziba masikio kuyasikiliza. Waomba msaada kwa mmoja tu

    Mungu wa wapalestina si DAGONI wa enzi za kina ghoriati au saiv amebadili jina
  10. X-men

    Kijana wa miaka 14 auawa kwa risasi akijaribu kumdunga kisu afisa wa polisi wa Israel

    Nimekumbuka movie ya eastern condors ya akina kipanya kuna askari alimwonea huruma mtoto wa ki vietinum dogo kamtia kisu
  11. X-men

    PreGE2025 Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

    Kwa hyo SSH anajua dunia inavyoenda?
  12. X-men

    Israel imeachiwa ishinde vita na haijashinda. Inasikitisha sana na kuna ujumbe mkubwa

    Kwan wale majini wazuri wamechoka kufanya kazi yao ya siku zote wanapotumwa?
Back
Top Bottom