Recent content by WPT

  1. W

    Je kuna usajili katika kuanzisha biashara ya min restaurant?

    Khabari wadau... Swali langu ni fupi .. je kuna usajili katika kuanzisha biashara ya min restaurant ya chakula.. kama chips.. wali.. n.k..kama ipo njia ni zipi na certificates za usajili ni zipi na ngap??
  2. W

    Biashara 3 za kufanya ktk kipindi hiki kigumu

    Swali jibu la kisenge katika shauri la lenye weledi
  3. W

    Ufungaji wa Luku Mpya

    Ndiyo mkui Sent using Jamii Forums mobile app
  4. W

    Ufungaji wa Luku Mpya

    Khabari za humu!.. nauliza process na gharama za ufungaji wa luku mpya kwa anayejua na mawasiliano ya mtu anayeweza kufunga luku mpya.. asanteni Sent using Jamii Forums mobile app
  5. W

    Nimekuta uchafu na usaliti kwenye simu yake

    Kumbe we mtu wa Tanga.. sasa kama wewe mtu wa Tanga na bado anachepuka.. inabidi atafutiwe waarabu.. Ushauri wangu ni kwamba.. usipoziba ufa utajenga ukuta.. Kosa la dereva wa lori ni kujifanya mgumu kuendelea kuendesha wakati tairi moja lina pancha Sent from my GT-N5100 using JamiiForums...
  6. W

    Naomba ushauri kuhusu biashara ya Tofali

    Hello wanajamvi.. ni siku nyingine tena tupo pamoja.. Kwanza vipi khali zenu? Naomben kuuliza haya.. Hivi kuanzisha kiwanda cha kufyetua matofali ni vitu gani vinahitajika?.., Je usajili unahitajika? Na kama usajili unahitajika.. process zipoje?. Na ni document gan wanazohitaj ili kuweza...
  7. W

    Ndoa: Swala la uchumba na mahari

    Diamond alimvalisa pete ya uchumba wema.. ina maana alitoa mahari?
  8. W

    Ndoa: Swala la uchumba na mahari

    Hahahhaa... Shikamoo Magu
  9. W

    Ndoa: Swala la uchumba na mahari

    Asante.. what is ukaanza na Engagement alafu mahari baadaye?
  10. W

    Ndoa: Swala la uchumba na mahari

    Wana jamvi.. Leo nimefikiria mengi nikaona niangalie na mawazo ya wana jamvi wengine ambaye ni ninyi.. Hivi katika safari ya ndoa, kuna swala la uchumba na mahari.. Je ni mahari huanza, alafu uchumba, kisha ndoa.. Au ni sherehe ya uchumba (Engagement), ndo huanza kisha mahari alafu ndio...
  11. W

    Uchimbaji wa borewel

    Nipatie mawasiliano yako
  12. W

    Uchimbaji wa borewel

    Me nahitaji kisima cha kudumu., chenye bomba kias kwamba naweza nikauza maji as well .. Kisima unachozungumzia wewe ni cha namna gan na ni bei gan?
  13. W

    Uchimbaji wa borewel

    Dooh .. chumvi kali au ya kawaida?.. Eneo langu lina bonde na kilima.. nyumba inakaa kilimani.. borewel ndo sijajua nieke wapi
  14. W

    Uchimbwaji wa borewel

    Khabari wana jamvi hili.. Nikiwa na tabasamu lenye tumaini la uimara wa afya zenu, naomba nikunje miguu kama nyie jamvini kisha tujumuike pamoja.. Ewaah.. Akhsanteni.. Kabla hamjanipa chakula chenu, naombeni mtambue njaa niliyonayo.. Njaa kubwa niliyonayo ni ya kutaka kujua gharama za...
  15. W

    Uchimbaji wa borewel

    Khabari wana jamvi hili.. Nikiwa na tabasamu lenye tumaini la uimara wa afya zenu, naomba nikunje miguu kama nyie jamvini kisha tujumuike pamoja.. Ewaah.. Akhsanteni.. Kabla hamjanipa chakula chenu, naombeni mtambue njaa niliyonayo.. Njaa kubwa niliyonayo ni ya kutaka kujua gharama za...
Back
Top Bottom