Unajua shida kubwa ni kwamba private sectors ime athirika sana. Watoa ajira nyingi huwa ni hawa private sectors. Kuyumbishwa kwao kwa sababu kadhaa wa kadhaa kuna fanya wengi wategemee ajira kutoka serikalini, ambazo kiukweli huwaga si nyingi sana. Serikali wao ndio suluhisho la mwisho na sasa...
Rais Mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi amefanya mengi sana ya kukumbukwa hasa katika sekta ya uchumi wa Tanzania. Ni ukweli usio pingikia yeye ndio ali ruhusu daladala zianze kufanya kazi Dar Es Salaam na sio UDA tu, pia ali ruhusu biashara zifanyike na watu waka jipatia mali na fedha...
Kitu cha msingi si kufukuza mwanachama yeyote. Kitu cha msingi ni kujua wapi wana kosea as Chama na kujirekebisha. Pia kujua nini wananchi wana hitaji hasa katika majimbo yao na sehemu zote za nchi katika kipindi hiki cha miaka 4 iliyo baki kufikia Uchaguzi mkuu. CHADEMA wana takiwa waache mambo...
Nashauri mwenyw uzi huu pia pitia kitabu cha Mwl. Julius K. Nyerere cha Uongozi Wetu na Hatima Ya Tanzania utaona siri hizo Mwalimu yeye mwenyewe alivo ziweka hadharani. Pia soma kitabu cha Pan- Africanism or Pragmatism? Lesson of Tanganyika- Zanzibar Union cha Issa G. Shivji.
Unajua Tanzania ina siri nyingi sana. Sana. Hata ukiacha kifo tata cha Sokoine, kifo cha Karume pia ni tata, Mapinduzi ya Zanzibar yenyewe haya heleweki, kuondoka kwa Kambona, kupotea kisiasa kwa Bibi Titi, kufa kwa akina Sykes, mengi mengi ni siri. Na hii yote ni kwasababu Nchi kama Nchi yeyote...
Bwana Yesu alipo kuwa yungali Duniani nasi alisema alipo ulizwa na wanasheria alipo kuwa Hekaluni Yerusalem kuhusu chapa ya sarafu ambayo ili kuwa na picha ya Kaisari( Ceasar ) Ambaye ali kuwa Mfalme Wa Roma wakati huo, na alijibu hivi " Ya Kaisari mpe Kaisari, na Ya Mungu mpe Mungu"
Ninge...
Kadi #7 mi nikajua ana fuata baada ya Jk Nyerere na Karume. Kumbe 7. Enzi hizo kulikuwa na akina Kambona ambaye Ali enda na Nyerere 1961 kwenda kuomba uhuru UK na bado aka ondoka CCM na CCM ikabaki. Na Kambona ni kadi #4 sasa wewe #7 una mtingisha nani.
Labda niku jibu hivi unapo anza kuongea siasa za CHADEMA utu ambie kama ww ni msemaji wao? Pili kabla ya kuongelea unao waita wasaliti ina maana huja ona Usaliti alio ufanya Mbowe kumleta Fisadi na wenzie Ndani ya CHAMA na kuharibu the bottom stone ya CHAMA ambayo ni kupigana juu ya ufisadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.