u
Nyerere alijuta kumwachia mwing nchi baada ya kuvurunda na kuanzisha makundi ya udini ikiwemo pamoja na kuasisi mitandao ya madawa ya kulevya iliyoshamiri kipindi chake kama uyoga. Unachokisema upole kinaweza kuwa uzembe!.
Wakati wa nyerer Watanzania waliheshimika dunia nzima. Mara nyingine hata airports za kimataifa tulipita bila kukaguliwa kwa sana lakini baada ya vimbwanga vya mwiny kila mahala ukisema ni Mtz, unaangaliwa kw macho mawili mawili yenye mashaka.
Nyerere aliyashuhudia mikutano ya kidini isiyo na uhusiano na serikla iikifanyika ikul. Nani asiyejua jins huyu mzee alivyoifanya tz? Nyerere aliumia akasema anajuata kumpa huyu nchi.
Siyo kwamba laitaka kurudi mwenyew. N amktu akijuta haina maana anataka afanyeyeye.
Wenye dini ya matusi na mapanga, kazi kwenu.
Acha blaa blaa! Unatakiwa kuuliza Kaka zako Mwinyi aliipokea Nchi hii ikiwa katika hatua ipi kiuchumi na Kijamii?
Hakuna Chakula ulichokuwa unaweza kununua bila ya kibali cha Mjumbe wa a Nyumba kumi ( Balozi)
Kila Sector ilikuwa Mbovu sana.
Mzee Ally Hassan Mwinyi aliweza kuvusha Taifa kutoka kwny Mfumo mmoja kwenda Mwingine bila ya Mtikisiko Mkubwa na hili ni Jambo kubwa sana sema tu lilifanywa na Mtu asieamini kwny Mbwembwe na misifa