Recent content by Wolfgang97

  1. Wolfgang97

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Kijana epula zinaaa
  2. Wolfgang97

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Kiumbe Cha YESU
  3. Wolfgang97

    Dah! Warembo wa mjini, hivi 'vitilapia' nyie huwa hamjisikii?

    Yakobo 4 4 Enyi wazinzi, hamjui ya kwamba kuwa rafiki wa dunia ni kuwa adui wa Mungu? Basi kila atakaye kuwa rafiki wa dunia hujifanya kuwa adui wa Mungu.
  4. Wolfgang97

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Nirudie kusoma Kwa sauti
  5. Wolfgang97

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Mathayo 24 6 Nanyi mtasikia habari za vita na matetesi ya vita; angalieni, msitishwe; maana hayo hayana budi kutukia; lakini ule mwisho bado. 7 Kwa maana taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme; kutakuwa na njaa, na matetemeko ya nchi mahali mahali. 8 Hayo yote ndiyo...
  6. Wolfgang97

    Dhambi ya zinaa

    Kaka IKIMBIE ZINAA hamna kitu kizito chochote Wala sitii huruma [emoji23][emoji23] 1 Wakorintho 6 18 Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe. 19 Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho...
  7. Wolfgang97

    Dhambi ya zinaa

    Sizini [emoji275]
  8. Wolfgang97

    Dhambi ya zinaa

    Hosea 4:10-11 Nao watakula, lakini hawatashiba; watafanya zinaa, lakini hawataongezeka; kwa sababu wameacha kumwangalia Bwana. Uzinzi na divai na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu. Vijana zinaaa Ina madhara makubwa [emoji1787][emoji1787][emoji23]msizini
  9. Wolfgang97

    Dhambi ya zinaa

    [emoji1787][emoji119][emoji23][emoji23]usiseme sijakuambia
  10. Wolfgang97

    Dhambi ya zinaa

    Kaka matokea ya zinaaa ni laana [emoji23][emoji23] unakua adui wa Mungu Yakobo 4 4 Enyi wazinzi, hamjui ya kwamba kuwa rafiki wa dunia ni kuwa adui wa Mungu? Basi kila atakaye kuwa rafiki wa dunia hujifanya kuwa adui wa Mungu. 5 Au mwadhani ya kwamba maandiko yasema bure? Huyo Roho akaaye...
  11. Wolfgang97

    Dhambi ya zinaa

    1 Wakorintho 6:13 Vyakula ni kwa tumbo, na tumbo ni kwa vyakula; lakini Mungu atavitowesha vyote viwili, tumbo na vyakula. Lakini mwili si kwa zinaa, bali ni kwa Bwana, naye Bwana ni kwa mwili. Kaka huo mwili ni Kwa ajili ya BWANA sio zinaa Kataaa Zinaaa
  12. Wolfgang97

    Dhambi ya zinaa

    Haii [emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]Mkuu Kuna jehanum Ufunuo wa Yohana 21 8 Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya...
  13. Wolfgang97

    Ajali: Kampuni ya basi la Newforce imegonga mwendesha bodaboda

    Siku hizi vijana wanaisha Sana YESU atunusuru
  14. Wolfgang97

    Dhambi ya zinaa

    Yuda 1 7 Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyokuwa kando-kando, waliofuata uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa katika moto wa milele. 8 Kadhalika na hawa, katika kuota kwao, huutia mwili uchafu, hukataa...
  15. Wolfgang97

    TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia

    Kwa maana kwangu mimi kuishi ni Kristo, kufa ni Faida. Wafilipi 1.21
Back
Top Bottom