Story yakweli kabisa mkuu. Nilijichanganya nikahisi kama namsaidia kumbe nilikuwa nimepotoka. Mambo aliyonieleza ni mengi sana yaliyomsibu mpaka sasa ana miaka 20 alitoka kwao akiwa na miaka 17 akapelekwa mjini kufanya kazi kazi yenyewe bar.amekutana na wale wauzabaa konki wakamfunza udangaji...
Mwezi watano katika mihangaiko yangu nikakutana na mdada mmoja nikamwelewa tukayajenga mwisho tukakubaliana kuishi pamoja.
Alinieleza changamoto zinazomkabili huku akiwa na mimba ya miezi 2 anasema baba wa mtoto wamepotezana ni watu waliokutana katika kudanga hivyo hajui namna ya kumpata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.