Kama Manji ana nia nzuri na Yanga bhax aisaidie timu bila kujikodishia, Haina haja ya kujikodishia timu baada kwa miaka kumi, Akiwa mwenyekiti kwa miaka kumi ni sawa lkn sio kujikodishia timu. Huyo muhindi alikuwa na plan zake cku nyingi, Cha kwanza kilikuwa ni kuwin mioyo ya wana Yanga hlfu...
humu kuna watu wana akili za king'ombe vibaya halfu utakuta ni kijana.. yenyewe yanafurahia malori yao tu yanavyoyabeba. chama cha mang'ombe oyeee.... hahhahahahaaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.