shahawa ,baada ya tendo la ndoa zinatoka haijalishi mwanamke yupo kwenye ovulation au la!itakayorutubisha ni sperm moja au mbili kulingana na mayai yaliyo tayari kurutubishwa....je zinatokaje? kwa kawaida mwanamke hutoa maji maji na hii ni kawaida kwa wanawake na ndio maana wanashauriwa kuwa...
Hivi Mh. Makonda anachokifanya ni sahihi?jibu ni ndio BUT kwa nini anapata strong opposition's kutoka kwa viongozi wenzake??TUSHIRIKISHANE ni kwa nn akina nape na akina musukuma wana mpinga ???????
Nimepata taarifa kuwa hakuna field kwa first year ..je ni kwa faculty zote au ni baadhi je vipi kwa wanaosomea ualimu hatutaenda field??msaada wenu wakuu
Nimekuja chuo kusoma bachelor of science with education but haikuwa priority yangu... Je ninaweza kusoma course nyingine baada ya kumaliza chuo? Msaada jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.