Recent content by Wizvee

  1. W

    JamiiForums Tanzania Nawezaje ku-rename link kwenye post JamiiForums?

    <a href="Wapdam.com/url">Jipatie</a>
  2. W

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kununua ac za facebook

    mm ninazo AC kama 5 ivi...na zote zna zaid ya mwaka 1
  3. W

    JamiiForums Tanzania Rangi ya kichwa cha uume ni cheupe kama mzungu

    hata mimi pia nina kaka yangu pia yuko ivo ivo.. nahisi ni maumbile tu ya baadhi yamtu na mtu...
  4. W

    JamiiForums Tanzania Nani alizima harakati za R.O.M.A?

    Roma ni kama nabii.. ameshaimba vyote akamaliza, na sasa ndo vinatokea kimoja kimoja.. ndomana skuizi akitoa wimbo anamuimbia Mungu tu.
  5. W

    JamiiForums Tanzania Msaada: Simu inaingiza charge taratibu sana

    Shukrani sana Chief
  6. W

    JamiiForums Tanzania Msaada: Simu inaingiza charge taratibu sana

    natumia Samsung Galaxy S2
  7. W

    JamiiForums Tanzania Msaada: Simu inaingiza charge taratibu sana

    kuna chaja ya Tecno ni ya USB cable, ina miguu mitatu, hiyo ina 2A, sasa nliogopa kuchkua kwa kuogopa bidhaa za tecno kwa kudhani labda ni dhaifu na hazina ubora.. USHAURI plz
  8. W

    JamiiForums Tanzania Msaada: Simu inaingiza charge taratibu sana

    msaada
  9. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Alipokwambia ana mpenzi wake, ulifanya mikakati gani mpaka ukampata?

    Au sijui nagawe namba za huyo demu umu.. Yani dem kwako mambo safi.. Ni mtoto wa kishua anaishi oysterbay... ni chotara... Amechanganyia uarabu na Upemba...
  10. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Alipokwambia ana mpenzi wake, ulifanya mikakati gani mpaka ukampata?

    duh! juzi kuna dem amenijibu ivi.. dah. kwaiyo niendelee kukaza uzi au?
  11. W

    JamiiForums Tanzania Mwili kutoa majimaji (hasa mikononi na miguuni)

    mimi pia nina tatizo kama lako.. yani hasahasa nyakatiza mchana ila mimi nkinawa na sabuni mikononi basi jasho hukata kwa muda
  12. W

    JamiiForums Tanzania Uvaaji wa miwani

    ahsante sana kwa ushauri
  13. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemnunulia Vitz hataki anataka Klugger

    Hahahah... daah ww jamaa nimejikuta nipo interest nawewe... manake huo ndo mpango wangu pia
  14. W

    JamiiForums Tanzania Uvaaji wa miwani

    Jamani naimbeni msaada plz
  15. W

    JamiiForums Tanzania Uvaaji wa miwani

    Habari zenu, Naomba kujuzwa jamani, Mimi sina matatizo ya macho ila nilitamani kuvaa miwani za kawaida tu {zab kununua kwa machinga}. Ila tatizo linakuja, kwanini kila miwani ninayoijaribisha naona kama inakiji-lens ya kuvuta kwa mbali? Yaani ukiiweka miwani yoyote usawa wa macho alafu...
Back
Top Bottom