kuna chaja ya Tecno ni ya USB cable, ina miguu mitatu,
hiyo ina 2A,
sasa nliogopa kuchkua kwa kuogopa bidhaa za tecno kwa kudhani labda ni dhaifu na hazina ubora..
USHAURI plz
Au sijui nagawe namba za huyo demu umu..
Yani dem kwako mambo safi.. Ni mtoto wa kishua anaishi oysterbay... ni chotara... Amechanganyia uarabu na Upemba...
Habari zenu,
Naomba kujuzwa jamani,
Mimi sina matatizo ya macho ila nilitamani kuvaa miwani za kawaida tu {zab kununua kwa machinga}. Ila tatizo linakuja, kwanini kila miwani ninayoijaribisha naona kama inakiji-lens ya kuvuta kwa mbali?
Yaani ukiiweka miwani yoyote usawa wa macho alafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.