Msaada: Simu inaingiza charge taratibu sana

Msaada: Simu inaingiza charge taratibu sana

shalolizo

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2013
Posts
336
Reaction score
203
Habari zenu humu ndani,, nina simu yangu ya tecno h 6 hivi karibuni imepatwa na tatizo la kuingiza chaji Pole Pole sana, yani unaweza ukaweka chaji masaa manne lakini ukakuta imeingiza asilimia 15 tu,, nimebadili betry lakini tatizo bado tu
 
Jaribu kutumia charger nyingine.. Tena iwe ni ile yenye uwezo mkubwa wa 3.7 v ..Mara nyingi charger za miguu mitatu hasa zile Inazotumia USB port n nzuri.....kama tatizo hilo litaendelea basi huenda kukawa na shida ktk system charge....Pima cm yako kama inapandisha vote vizur yaan ..kama inapanda na kushuka has system charg imekufa mpelekee fund a toe awake nyingine..kama gharama utaona no kubwa...bas nunua chaja ya Kobe nzuri halaf tumia kuchaj Betry lako had Hapo utakapata pesa
 
dmkali ninakuunga mkono automatically tatizo ni charger tuuu....nakushauri tumia.chaja original za tecno H6
 
dmkali ninakuunga mkono automatically tatizo ni charger tuuu....nakushauri tumia.chaja original za tecno H6

vipi akitumia charger origianal za simu nyingine kama samsung, Huawei au sony? zenye voltage ya 3,7v as he advised
 
hapana always chajia simu uliyoshauriwa....ukisoma maelezo maalumu kwenye box utaona wakisisitiza use orignal charger
 
Jaribu kutumia charger nyingine.. Tena iwe ni ile yenye uwezo mkubwa wa 3.7 v ..Mara nyingi charger za miguu mitatu hasa zile Inazotumia USB port n nzuri.....kama tatizo hilo litaendelea basi huenda kukawa na shida ktk system charge....Pima cm yako kama inapandisha vote vizur yaan ..kama inapanda na kushuka has system charg imekufa mpelekee fund a toe awake nyingine..kama gharama utaona no kubwa...bas nunua chaja ya Kobe nzuri halaf tumia kuchaj Betry lako had Hapo utakapata pesa

Nashukuru kwa ushauri,, natumia charger original niliyonunulia simu, mwanzo haikuwa na tatizo,, tatizo limeanza baada ya kuanza kutumia power bank na zile usb ambazo zinawaka taa
 
Hata mim nilisha wahi kupata tatizo kama hilo Jaribu ku i restore :tahadhari uki restore utafuta app zote ulizo in stall ,share na kudownlod
 
Habari zenu humu ndani,, nina simu yangu ya tecno h 6 hivi karibuni imepatwa na tatizo la kuingiza chaji Pole Pole sana, yani unaweza ukaweka chaji masaa manne lakini ukakuta imeingiza asilimia 15 tu,, nimebadili betry lakini tatizo bado tu


Tumia cable fupi, kama unatumia cable refu sana especially zile Bapa ni mbaya sana zina resistance kubwa. Tafuta usb cable Original zile kama za samsung
 
Mkuu soma chaji yako imeandikwa inatoa voltage ngapi kuingia kwenye simu then nijue nakushaurije
 
DuuH 100mA ni chaja dhaifu sana, chaja ya kawaida ya smartphone inakuwa na 1A ambayo ni sawa na 1000mA, na chaja za kisasa zinakuwa hadi na 2A.

Ila inabidi ugharamikie
 
kuna chaja ya Tecno ni ya USB cable, ina miguu mitatu,
hiyo ina 2A,
sasa nliogopa kuchkua kwa kuogopa bidhaa za tecno kwa kudhani labda ni dhaifu na hazina ubora..

USHAURI plz
 
kuna chaja ya Tecno ni ya USB cable, ina miguu mitatu,
hiyo ina 2A,
sasa nliogopa kuchkua kwa kuogopa bidhaa za tecno kwa kudhani labda ni dhaifu na hazina ubora..

USHAURI plz
Sometime wachina wanadanganya specs, unatumia simu gani? Kama ni ya mediatek sio mbaya hio charger ya tecno ila kama una simu ya qualcom na una hela kidogo i recomend chaja ya note 4. Around dk 30 hadi 45 simu inakaribia kujaa
 
S2 ina exynos na battery ndogo, nafkiri ya tecno itafaa, tafuta hata ya rafiki yako utest then utafanya uamuz wa kununua


sorry mkuuu nakutoa nje ya topic.... nina power bank nimepewe na ndugu ina port moja.

ina 8000mAh with 1A ila..
ila haijazi simu yangu mkuuu samsung s4..
naweza nikaichomeka kama kuichagi bt kujaaa inachukua muda sanaaa.... inaweza chukua hata nusu saa kuingiza 5% ...
 
sorry mkuuu nakutoa nje ya topic.... nina power bank nimepewe na ndugu ina port moja.

ina 8000mAh with 1A ila..
ila haijazi simu yangu mkuuu samsung s4..
naweza nikaichomeka kama kuichagi bt kujaaa inachukua muda sanaaa.... inaweza chukua hata nusu saa kuingiza 5% ...
Powerbank nyingi ni za kichina na hazifanyi kilichoandikwa. Umejaribu kuchajia simu nyengine inajazaje?
 
Back
Top Bottom