Mkuu huko ulipoenda palikuwa tayari pameendelea ndo maana umeona hivo,ukija sehemu kama mjohoroni,sango ukisema uangalie 10 years back na saiv maendeleo ni makubwa aisee ,,,,na kama old moshi mi pia nimeishi huko sana zamn kulikuwa hamna lami saiv lami ipo and other social services kama...