Recent content by wizardxp

  1. wizardxp

    Familia mbili za anunaki ndio zinasumbua dunia hii hadi leo

    Nadhani ulishawasikia kuwa mvua ikinyesha wakati jua linawaka basi Simba anazaliwa au Mama mjamzito haruhusiwi kula mayai,. Hizo zote hadith zilikuwepo until zakawa proven otherwise. Kwahiyo hata unachoongea kinaweza kuwa story kama zingine mpaka ziwe proven
  2. wizardxp

    Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    Umeongea kulingana na uelewa wako,! Dini sio kigezo cha wewe kutokua na akili ya ubunifu. Unaweza fanya vitu vikubwa na bado ukawa na dini yako.
  3. wizardxp

    Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    Kubisha hukukufanyi kujua? Weka hizo contradiction, then wanaojua watakujibu
  4. wizardxp

    Wizi wa laptop na simu ndani ya mabasi Morogoro

    Kumekua na wizi wa laptop na simu ndani ya mabasi pale Morogoro pindi watu wakishuka kwenda kutafuta chakula. Mara nyingi hutokea kwa mabasi yanayopita muda wa jioni, zaidi hutokea kwa mabasi yanayotoka Dodoma. Nimeona sio vizuri kutaja aina ya mabasi hayo. Nini kifanyike kupunguza kero kama hiyo?
  5. wizardxp

    Bila udikteta wenye akili Afrika hatutaendelea. Demokrasia ni mtego uliotunasa

    Hakuna democracy duniani! grow up. ni mchezo wa kiuchumi. Mnagombania uongozi mnasahau maendeleo
  6. wizardxp

    Someni hii taarifa, wale ambao mna tabia ya kuwashabikia Wazungu na kuwatetea msipobadilisha msimamo wenu, basi mmelogwa

    Soma kwanza hiyo habari yako vizuri, alafu uifupishe Sent using Jamii Forums mobile app
  7. wizardxp

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Kwanini hakuna kingine tena mpaka saivi, kama binadamu anaweza Sent using Jamii Forums mobile app
  8. wizardxp

    Waislamu tuwe makini na watu kama akina Ponda na mfanowe

    Kama umepana sehem kwa biblia imeandikwa hayo maneno tuonyeshane, na kama hamna usiseme dini zote Sent using Jamii Forums mobile app
  9. wizardxp

    Je, bikra inaweza kutoka bila kukutana na mwanaume? Na kwanini wasichana hawapendi kuulizwa hili?

    Kwani wewe unapenda kuulizwa idadi ya wasichana uliopita nao ?
  10. wizardxp

    Nifanye nini ili niache kubet?

    Wape wenye shida hiyo hela
  11. wizardxp

    Unasikiliza wimbo gani sasa hivi?

    [emoji3] [emoji3] [emoji3]
  12. wizardxp

    Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Prof. Palamagamba aula, Mwakyembe achukua nafasi ya Nape Nnauye

    Kweli Kuna kitu ambacho mkuu anapewa na mkuu wa mkoa
Back
Top Bottom