Mkuu acha kulia lia na kutia huruma mimi ni maskini kama wewe lakini tusiridhike na hali hii mkuu nasemaje tutafute hera ukiona ni gharama sana kumhudumia mwanamke ujue huna hera hamna wanamke mzuri ambae hana gharama.
Safi sana umewasaidia wavulana wengi madomo geze na wengine maneno mengi lakini kwa demu hawana maneno ya ushawishi utakuta mtu anatongoza demu mwaka mzima na haja pata nyapu wanakuja wengine wanatongoza mda mfupi na wanapata mbunye yeye yupo tu.
Mkuu ttcl nayo ina vifurushi vipi kwa sasa ambavo ni vizuri sawa na huvi bua SmE ya airtel naomba fafanua kidogo kama hutajali kwa yeyote anaefahamu atusanue jmn hali ni ngumu
Kupanda wanakubali wamepandisha ila sababu ya kupandisha ndo wanakataa kuwa sio sababu ya tozo kumbe ni sababu ya nini!!?? Yaani serkal inaogopwa na wawekezaji hivi je mwananchi wa kawaida inakuwaje sababu ni hiyo hiyo ya kodi na matozo ila hawawezi kusema hapa walikatazwa wagugumie kimya kimya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.