Recent content by Wiwachu

  1. Wiwachu

    Unataka kutongoza bila kukataliwa?

    Nasemaje jamani wanaume tutafute hera ukiwa na hera hakuna mwanamke utamtaka akisumbue achilia mbali kukunyima.
  2. Wiwachu

    Wanawake Wengi ni washamba! Vijana kuweni makini

    Mkuu acha kulia lia na kutia huruma mimi ni maskini kama wewe lakini tusiridhike na hali hii mkuu nasemaje tutafute hera ukiona ni gharama sana kumhudumia mwanamke ujue huna hera hamna wanamke mzuri ambae hana gharama.
  3. Wiwachu

    Kwanini anakupotezea kwenye sms lakini mkionana anakuchangamkia

    Safi sana umewasaidia wavulana wengi madomo geze na wengine maneno mengi lakini kwa demu hawana maneno ya ushawishi utakuta mtu anatongoza demu mwaka mzima na haja pata nyapu wanakuja wengine wanatongoza mda mfupi na wanapata mbunye yeye yupo tu.
  4. Wiwachu

    Huduma ya Fiber ya TTCL

    Uniite mbwa nmekaa pale
  5. Wiwachu

    Phone4Sale NAUZA SMARTPHONE OPPO R7 PLUS

    Ingekuwa bado ipo si angekuwa online kashauza huyo
  6. Wiwachu

    Tambua haya kuhusu ku-update simu yako

    Kuna kitu ulitaka kutufumbua ila umeamua kuishia njiani natamani uendelee ili tupate kile ulichotaka kutujuza.
  7. Wiwachu

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mkuu ttcl nayo ina vifurushi vipi kwa sasa ambavo ni vizuri sawa na huvi bua SmE ya airtel naomba fafanua kidogo kama hutajali kwa yeyote anaefahamu atusanue jmn hali ni ngumu
  8. Wiwachu

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hata mm nataka kujua ndo laini gani hizo na nazipataje?
  9. Wiwachu

    Nahitaji simu ya kutoka kampuni ya Xiaomi

    Akikujibu unitag nmekaa pale
  10. Wiwachu

    Kama unatumia smartphone yenye Type-C fanya haya

    Angalau nmeambulia kitu hapa
  11. Wiwachu

    SI KWELI DStv wapandisha gharama za vifurushi kwenye king'amuzi kutokana na tozo za Serikali

    Kupanda wanakubali wamepandisha ila sababu ya kupandisha ndo wanakataa kuwa sio sababu ya tozo kumbe ni sababu ya nini!!?? Yaani serkal inaogopwa na wawekezaji hivi je mwananchi wa kawaida inakuwaje sababu ni hiyo hiyo ya kodi na matozo ila hawawezi kusema hapa walikatazwa wagugumie kimya kimya...
Back
Top Bottom