Recent content by Wiu

  1. Wiu

    Na mpango wa kuwashitaki Tigo Tanzania

    Turn off notifications, easy
  2. Wiu

    50 killed in New Zealand after gunmen attack Mosques(Waislamu wavamiwa Msikitini New Zealand; 50 wauawa)

    Hujanielewa mkuu wangu Wazungu ndivyo waonavyo waislam Sio mimi
  3. Wiu

    Polisi, ikitokea nimeokota kifaa cha kiaskari au bunduki nifanyeje ili nisihusishwe nacho?

    Kwa Tanzania hii, unaweza kujiingiza kwenye shida when you say it all
  4. Wiu

    50 killed in New Zealand after gunmen attack Mosques(Waislamu wavamiwa Msikitini New Zealand; 50 wauawa)

    Hii ni planned issue by whites intelligences. Wazungu hawawataki waislamu na misimamo yao katika whites countries. 'Islams brings underdevelopment' 'Islams brings hate and fear, lack of freedom' 'Islam is not a religion for people...'
  5. Wiu

    Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

    Mkuu wakati namaliza.form 4 2009 nilikuwa na 191cms, hapo nna 18yrs old. I am so tall. Nilipenda mazoezi ila mengi yakawa mambo! Nashukuru uzito umepungua sana maana kuna wakati nilikualaga mazaga zaga mpaka nikafika 100kgs😂😂😂 Infact bro, wakurya huwa ni warefu warefu sana
  6. Wiu

    Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

    Mkuu mimi nina urefu wa futi 7, kilo 85. Nimejaribu sana mazoezi naona naishia njiani. Nitajaribu tena nione naishia wapi
  7. Wiu

    Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

    Balance na stamina za magoti. Au sio Castr ? Kuna watu wana magoti yanalia kacha kacha kabisa nadhani kuna upungufu wa kitu humo.. Squat inasaidia sana
  8. Wiu

    Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

    Hivi huyo umemchukulia.serious?
  9. Wiu

    Najibu maswali yenu hapa...Uliza chochote

    Kama umemchoka smart sema tu nikubebe
  10. Wiu

    Maafisa Mauzo, nafasi 20 Dar Es Salaam. Urgently required

    Hakuna mtu hata mmoja amekuja kulalamika hapa.juu ya hizi nafasi, so wewe na Chinga One mna gubu tu na ndoa zenu hizo za mitala!
  11. Wiu

    Maafisa Mauzo, nafasi 20 Dar Es Salaam. Urgently required

    Ni sawa na yule alieenda kuiba?
  12. Wiu

    Nafasi 40 za kazi kwa madereva wa Bajaj katika Kampuni ya kusambaza vinywaji, Super Sip Limited

    Hello there! Changamkia nafasi hizi za kazi kwa madereva wa Bajaj. Tafadhali hakikisha una valid driving licence na unatakiwa uje nayo kwenye Usaili. Kampuni inayowahitaji ni ya usambazaji wa soft drinks, Super Sip Limited. 0782784952 piga simu kwa maelekezo zaidi Karibu PM
  13. Wiu

    Maafisa Mauzo, nafasi 20 Dar Es Salaam. Urgently required

    Kama ushatendewa ndivyo sivyo na hiyo namba toa taarifa hapa
Back
Top Bottom