Mmmmhhhh!mama haya mambo muachie hyo zito na wanachadema Ww kma mzazi wapaswa kuongea na mwanao tu na si wandishi huku utajibi visivyo matokeo yake nikujivunjia heshma ,na kumdhalilisha zito ,Ww kma umefurahi basi furaha yko ishie nyumbni ,angalau angeongea baba mmmmmhhhh!hapo jilaumu na kama...
Wpi card za uwanachama tutapata za chadema ,tunapenda watu wnye msimamo wasio nyenyekea wageni wala kuangalia umaarufu wa mtu nchi yetu nitajiri sana kwanini tunyanyasike msitetee ujinga wenzenu wananeemeka nyie mnabaki kulumbana bila revolution hamna kitu ,
Kaka hayo nimapito na mungu atamlipa Sawa na ujira wke,cha msingi kaza buti wewe siwakwnza wala hutakua wa mwisho ,mdharau jbu zuri Ningumu ila jitahidi usimuulize aingiapo wala atokapo siku unakifaa lala,nilishamwambiaga shangazi angu narudi nyumbni ndoa imenishinda nikamwmbia mbna Ww umepata...
Kwnza Ww nijasiri umfumanie mara 7 naumevumilia pole umeumia sana , usichukue maamuzi magumu yatakayotesa watoto wko usiondoke utampa kichwa jibu la mjinga nikimya kupiga muache kwn toka umempiga hajajirekebisha huyo nimshenzi na limbukeni , muonyeshe shoo kwanza pigana upate kazi hukuukiwa...
Samahani Kaka mm mpare tena msuya kwa baba na mbwambo kwa mama nikoo tofauti kabila 1cjawahi kuona hzo mambo usituharbie kabila na huko kukatwa Ww ndo ngariba ulisibitisha hyo tafuta lkuongea ,kwnda kila mwsho wamwaka nyumbni lzma mwenda kwao si mtoro kma Ww huendi kwnu utajijua lbda hapakuvutii...
Mtanzania mwenye uchungu nakuumia juu ya mwenzke huwezi kuogopa kuongelea hli swala imetuuma sna huu c msiba wawa pare wala wavungi niwakitaifa *funguka kadri uwazavyo #
Naamini umeumiza kichwa kufikiri hya hongera sna naunachosema nisahihi mm nimetembea vjiji nikaona watu watesekavyo nikajikuta nikisema hii si (TANZANIA HURU WALA YENYE USAWA NA VIONGOZI WENYE UCHUNGU NA WAZAWA ) mungu atupe kiongozi mwenye hofu ya mungu nakukumbuka Tz ilikotoka ,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.