Recent content by wisewords

  1. W

    Nini kifanyike ili kuiondoa CCM madarakani?

    Shida ni kwamba, CCM wanaamini Wana hela, watz Wana njaa, kwa hiyo hako Ka tread, CCM wanaamini hamna WA kukavunja. Na ni kweli
  2. W

    Kuhusu bei za vitu

    Naomba kupata uelewa. Ni kwa nn bei za vitu Zanzibar ni cheap kuliko huku kwenu bara nyie watanganyika
  3. W

    PreGE2025 Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

    Ila kukwama kwa maandamano sio failure ya chadema,mbowe wala lissu peke yake. Ni failure ya wote kama nchi. Matatizo kila kona,lkn watu kupaza sauti nibkipengele. Polisi mnaokamata wala sio wenye vyeo vikubwa, maisha yenu tunajua. Mnaona Raha kupromote interest za CCM ikiwa ni pamoja na viongozi...
  4. W

    Jenga na Sisi Dragon Mabati

    Tofauti ya bei mwanza na dar ni ipi
  5. W

    PreGE2025 Mchungaji Msigwa umemsikia Nape Nauye?

    Kweli kabisa. Na wananchi wa bukoba manispaa kabisaaa,wakashangilia
  6. W

    CV ya Asumpta Mshama

    Ana maji sana
  7. W

    Zuio la Kongamano la Demokrasia: Edward Lowassa azungumza na Wanabari

    Bora wakataze, hatua mda wa kusikiliza bullshit.., acha tuendelee kulijenga taifa
  8. W

    Tetemeko Kagera: ACT-Wazalendo walaani msimamo wa Serikali kutosaidia wahanga

    Totally wrong.., hii nchi ilipofika ni pabaya, ukiwa na nchi ambayo wananchi hawana nguvu ya kuiwajibisha serikali, haya ndio matokeo yake. Me sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu angesikia kama lengo la hizo fedha na bado angechanga. Watu tulitoa tukijua zinaenda kwa wananchi, serikali...
  9. W

    Maafa Kagera: Ugali wa sumu waua mama na watoto wanne

    Mungu mwingi wa rehema awape raha ya milele..,EVERYTHING HAPPENS FOR A REASON
Back
Top Bottom