Ila kukwama kwa maandamano sio failure ya chadema,mbowe wala lissu peke yake. Ni failure ya wote kama nchi. Matatizo kila kona,lkn watu kupaza sauti nibkipengele. Polisi mnaokamata wala sio wenye vyeo vikubwa, maisha yenu tunajua. Mnaona Raha kupromote interest za CCM ikiwa ni pamoja na viongozi...
Totally wrong.., hii nchi ilipofika ni pabaya, ukiwa na nchi ambayo wananchi hawana nguvu ya kuiwajibisha serikali, haya ndio matokeo yake. Me sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu angesikia kama lengo la hizo fedha na bado angechanga. Watu tulitoa tukijua zinaenda kwa wananchi, serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.