Yoga Pranayama Cures 140 Diseases - Swami Ramdev Ji on Indian TV Channels
Creating a "Disease Free Society - Medicines Free World"
Swami Ram Dev Ji has been daily declaring on Indian TV Channels, since the
year 2002 that Patients of so called incurable diseases like Diabetes,
AIDS, Cancer...
Yaani umegonga kwenyewe. Siku hizi wanaiga kubeba back pack kama wajeda na kuna magari yao wameanza kuyakoleza rangi ya kaki iliyoiva ili yaonekane yanafanana na magari ya wajeda hahaha.
Jifunze kuelewa maana ya jeshi. Wanajeshi wana sheria zao, wanaweza kumkamata mtu yeyote na kumfungulia mashtaka na kumhukumu bila kufikishwa unakojua wewe. Jeshi ni serikali kamili na ukivunja kanuni zao ukiwa kwenye maeneo yao ya kazi huna pa kwenda kulalamika kwa sababu wanaweza kukukamata...
Sasa kuna mabinti wazuri kweli, wapo natural, sijui wakiamua kujivika hayo makitu sijui kama kutakalika. Hebu mlinganishe Jokate Mwegelo na Wema sepetu utaona tofauti. Jokate hata akiamka asubuhi na kuoga kisha kupaka mafuta ya nazi bado uzuri wake utabaki vile vile.
Ni kweli. Kamwe usidanganyike kwa kuiona picha tu. Unajua mtu hadi anakubaliana na halmashauri ya kichwa chake ku-post picha fulani anakuwa ameshachagua picha moja miongoni mwa elfu moja ile inayoonekana kumtoa vizuri hapo bado hajaongezea na editing ya camera 360.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.