Recent content by wiseman27

  1. W

    PostGE2025 Jasiri wa mwisho - JKT dhidi ya mfumo wa vyama

    Sawa, ila Hiyo mifumo inashikiliwa na hao wanasiasa ndio maana kelele wanapigiwa wao. Haitobadilika Hadi wakubali kubadilika.
  2. W

    Shule ya Secondari Kawe Ukwamani mwanafunzi amesimamishwa masomo kwa kuharibu jiko

    Jiridhishe kama hilo tukio wamefanya kweli. Ikiwa wamefanya kweli wanastahili kulipa lakini kwa utaratibu wa kiserikali na mpewe na risiti. Hakuna uhalali wa kuaribu Mali za shule kwa sababu yeyote ile. Lakini ikiwa wameonewa na si kweli basi liwasilishe kwa Afisa Elimu litashughulikiwa haraka.
  3. W

    Vita Huwa haipiganwi Huwa inachezwa,Na hata mafanikio katika maisha yanatafutwa kama mchezo tu hivyo usifuate sana sheria ichezee hela upate hela.

    Ungesubiri utoboe vizuri mkuu ndo uje utupe huu ushauri. Kwa hapo ulipofikia unaweza kujikuta kesho unaandika andiko lingine la changamoto za ufugaji.
  4. W

    Sentensi 13 ambazo hupaswi kumwambia mume wako

    Ukiwa umetulia, Pitia tena nilichoandika.
  5. W

    Sentensi 13 ambazo hupaswi kumwambia mume wako

    Umeandika vizuri. Lakini hayo yoote yanawezekana kusemwa na yasilete madhara, inategemea unasema wakati gani, unayasema namna gani na "bond" mliyo nayo kati yenu. . NB: rekebisha namba 7. Mke Aoi, anaolewa.
  6. W

    Matamshi ya Karia (kuwa ameibeba sana Yanga) yanatosha kusimamishwa, kuchunguzwa na kushtakiwa BMT, CAF au FIFA

    Kuna wakati waandishi wa habari humuuliza maswali ya mtego ili atoe matamshi yenye utata ambayo yatamuadhibu baadaye. Kwa bahati mbaya sana bado hajagundua hili, ananasa kila mara.
  7. W

    Century of humiliation ilikuwa ni somo lenye maumivu makali kwa China hali leo ila kwetu Afrika Slave trade na Colonialism havituumizi

    Huwezi kuwa huru ikiwa bado mtumwa. In Africa Siasa za kubembelezana, hekima ya kinafki na demokrasia ya uongo vimechangia kufikia hapo. China ni socialist country which practice positive development dictatorship mannerism ambayo huleta effective success.
  8. W

    PreGE2025 NETO ilikuwa mkakati wa uchaguzi kupata kura za walimu na kuongeza imani ya CCM iliyoporomoka?

    Kama walivyoita Press kutoa malalamiko yako basi wanatakiwa kutoa mrejesho wa mazungumzo yao ili wananchi wajue mbivu na mbichi. Safari ya "Kazi na Utu" ni ndefu.
  9. W

    Mpango mzuri na mawazo kwaajili ya safari za utalii wa ndani kwa wana JF

    Hii miezi bado watu wanajitafuta mkuu, wape muda kdg. Wahamasishe pia waanzie kwenye ngazi ya familia huko wakiwa na watoto wao kipindi cha likizo.
  10. W

    Wanawake wa Rombo Wana nini?

    Si rahisi kuweka bango hilo kutafuta mke tena wa kabila fulani specifically. Inawezekana kabisa nyuma yake kukawa na Agenda ingine isiyozungumzika. Mungu awalinde wadada wa rombo wasiingie kwenye huo mtego.
  11. W

    CHADEMA wadai kuzuiwa msibani kwa mwanachama wao, kufuatia maagizo kutoka juu

    Inasikitisha, msiba sio kitu cha kumkataza mtu. Aliyetoa maagizo ajitafakari sana, Kila nafsi itaonja umauti.
  12. W

    Single moms poleni kwa upinzani mkubwa mnaopokea humu, huruma yangu iwafikie

    Wanastahili pongezi, wajitahidi watoto zao wasikosee walipokea wao. Kosa si kosa, kosa ni kuendeleza makosa.
  13. W

    Ukielewa Haya Na Kutendea Kazi Kwa Vitendo Utaingia Kwenye Ndoa Ya Ndoto Yako

    Jitambue Jiamini Jikubali Ukiweza hivi vitatu hakuna kiumbe kitakusumbua no matter what.
Back
Top Bottom