Simpo..Msamehe tu. Msamehe huyo rafk ako Msamehe pia Dr Slaa..Kuhusu huyo rafiki ako unatakiwa ufikiri kwa mapana au uwe na Mawazo chanya pia badala ya kuwa na Mawazo hasi pekee.. Mfano: Chochote kibaya kingekupata usiku huo Mkeo angekuwa na taarifa na angejua ataanzia wapi. Kingine baada ya...
Hukuwa sahihi. Kama sababu in hiyo tu? Labda hukumpenda kwa dhati au kiasi kile yeye alichokupenda.. Serious hyo sio sababu ya msingi ya kukufanya umuache. Coz kwenye love Luna changamoto zake.. Zipo nyingi lkn kwako hiyo ilkua sehemu ndogo tu ya changamoto coz wapo wenye changamoto kubwa kuliko...
Msamehe na endelea na Maisha yako. Mwache huna haja ya kulipa kisasi jipe muda na Umuombe sana Mungu akupe Amani na Akusaidie uweze kumsamehe kwa Moyo wako wote.
Ishu ni Perception tu. (Mitazamo ya Watu) kuhusu hili.. Tumetofautiana kimitazamo kutokana na experience (uzoefu) tuliopitia katika Mahusiano yetu na wapenzi wetu. Hivyo kila mmoja Atakua na jibu lake kulingana na Alivyoishi na kumjua Mpenzi wake.
Kaka umeongea kwa hisia sana na ni ukweli mtupu ulivyosema nami nasema Mapenzi ya Sasa yamevamiwa Sana (utandawazi, Ubinafsi, Usaliti) na yanaelekea kupoteza Umaana kwa hali hii. I ril Hate this.
Yawezekana uko sawa kwa hicho ulicheleza hapo.. Ila Bado Hizo mbinu ulizotoa hazitoshi kumdefine MTU ukamjua completely. "Mke Mwema Anatoka Kwa Bwana" ndivyo Biblia inavyosema so chamsingi ni kuomba sana kumtegemea Mungu akupe Yule Wakufanana na wewe au Eva wako.. Coz every Adam in this Earth...
Hujawahi kumwambia MTU unampenda kwasasabu hujawah kupenda MTU.. Siku Ukipenda utajua kupenda ninini. Hakuna lugha rahc sana ya kuweza kuelezea suala hili (kupenda) ila kwa ufupi ni kwamba. Kupenda/kumpenda MTU ni ile hali ya kuvutiwa na mtu inayopelekea wewe kushawishika kupitia hisia zako na...
Ni Ukweli Uwepo wa Baba ni wamuhimu sana kwa mtoto na kwa Familia kwa ujumla. Ingawaje watu tumetofautiana na tuna Mitazamo tofauti (perception) coz mwngne anaweza kuona Mbona kawaida tu.. Lkn kiuhalisia Uwepo wa Wazazi wote Baba na Mama ni Muhimu coz unakamilisha Familia.
Wewe ndio umuogope Mungu..Mimi si Afiki hiyo dhambi.. Ya Uzinzi Maandiko yanesema huo ni Uzinzi na ni dhambi sijui kwako labda imani yako inasema sio Uzinzi kulala pamoja bila ndoa au sio dhambi.. Sijasema hyo ndio Sababu pekee japo in Moja ya sababu.. Ila nimesema pengine inaweza ikawasababu...
Kuishi bila kyfunga ndoa ni dhambi Mbele za Mungu coz hapo Mnafanya uzinzi.. Pengine dhambi hii ndio inafunga Asipate Mtoto haijalishi report ya Doctor imesemaje.. Tubuni na Msizini tena Fungeni/barikini Ndoa.. Mtoto Atakuja kwa wkt sahihi na Mazngra sahihi. Kwaoneni pia Watumishi Wa Mungu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.