Twende mbele na kurudi nyuma...... Wanafunzi wengi ama asilimia kubwa wanapokuwa shuleni (o level na high school) ndoto zao huwa ni kusoma chuo kikuu tena UDSM. Hayo mengine ya kwenda sijui cbe ama kusomea fork lift ni matokeo ya low pass marks. No offense though...... Kuhusu dharau nadhani ni...
Mie sioni kama kuna udhalilishaji wa aina yoyote. Watu wenye ulemavu ni wanajamii kama mtu mwingine yeyote. Wasanii/waigizaji wanaweza kuigiza chochote kinachotokea ama kilichopo kwenye jamii ikiwemo watu wenye ulemavu. Nadhani mada hii ingekuwa na mashiko endapo wangekuwa hawaigiziwi na kisha...
Hivi hujioni kama uko peke yako bro?? Yaani nimepitia comments zote kila mmoja anakushangaa wewe unavyoshangaa...... Na wewe umekomaa kutetea post yako tokea mwaka 2014.... Umetisha jibaba.
Nakubaliana na wewe ka 101% mimi ni mhanga wa kuoa kwenye familia ya binti aliyelelewa na mama pekee. Na matokeo yake nayaona dhahiri kama ulivyoeleza. Nobody warned me back then. Not even my father...... Nadhani na yeye hakuwa na elimu hii. I will pass this knowledge to my sons.
Nazungumza kwa uzoefu......... Kimbia faster. Toka nduki haraka sana. Hiyo ni tabia yake na usidhani kama ipo siku atakuja kubadilika. Kama unataka ndoa yenye raha na furaha, bado hujachelewa kutengua maamuzi. Mahari sio ndoa. Piga chini tulia tafuta mwanamke mwingine atakayekufaa.
Kawaida tu hiyo mbona. Nilinunua gari mwaka 2012 ikiwa na Km 25000 sasa ni mwaka wa tano ndio juzi tu imegonga 70000. Na namba ni C. So usione ajabu ni normal. Cha msingi angalia kama haina shida yoyote ya kiufundi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.