Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Ndugu zangu kama mada inavyojieleza hapo juu, jana nimenunua simu ya TECNO L8 Lite.
Lkn kwa uharaka niliokuwa nao nikasahu kuuliza namna ya kufungua mfuniko wa nyuma kwa ajiri ya kuweka line.
Najua hapa wataalamu mpo simu imenishinda kufungua kabisa, naombeni ujuzi huo
Lkn kwa uharaka niliokuwa nao nikasahu kuuliza namna ya kufungua mfuniko wa nyuma kwa ajiri ya kuweka line.
Najua hapa wataalamu mpo simu imenishinda kufungua kabisa, naombeni ujuzi huo