Akiwa katika ziara maalum ya ujenzi wa chama kufungua matawi mapya Katibu Mkuu wa CUF maalim Seif Shariff Hamad na umati mkubwa uliomiminika katika kisiwa hicho cha Tumbatu jana tarehe 1/4/2017,
Ni dhahiri sasa CUF haizuiliki tena katika visiwa vya Zanzibar, itakumbukwa kabla kisiwa hichi...
Mkuu maana yake hii ni kwamba mfano kama wa Kenya ukitokea Tanzania kwa mfano madaktari wa Tz kugoma, ama walimu kugoma, wafanyakazi wa serikali kugoma nk basi usije ukashangaa na Tz kuagiza kutoka Eithiopa, Kenya ama Rwanda na Burundi badala kutatua kero ambazo wahusika wanadai.
Ndivyo tawala...
Kwani Tz kuna amani? hakuna unyama zaidi kuliko huo? mara ngapi nimesoma kesi za watu kuwafungia hata wagonjwa ndani miaka nenda miaka rudi hawawapi huduma, wengine huwapiga mapanga wake/waume zao. watoto wachanga wanatiwa chooni.
Kuna mtu mashuhuri kama ben saanane hadi sasa Tz hajulikani...
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amesema ameshamalizana na mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha na haoni umuhimu wa kuzungumzia wala kumjibu, kwa sababu atampa sifa asizostahili.
Akihojiwa katika kipindi cha Funguka cha kituo cha televisheni cha...
kweli ccm zanzibar imajji, hawana tena namna kuomba kura kwa wananchi sasa ni fujo tu. Maalim Seif anajuwa siasa sana ata akistaafu siasa tayari wazanzibar wameshaamka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.