Nadhani niliongea kwa kifupi sikueleweka.......Moyo kuuma au kudunda ukiachika inatokana na stress na hofu ambazo chazo chake ni fikra....so kwa wale mnahisi moyo kuuma ukiachika ni kuathirika kwa mfumo wa damu pale unapopata stress kwenye ubongo....ndio maana hata ukiachika mapigo ya moyo...
Kila siku tumekua tukiamini moyo ndo unapenda lakini si kweli, kwanza ijulikane, moyo kazi yake ni kupamp damu kwenye mwili wa binadamu so haihusiani kabisa na mapenzi ambayo at last huwa ni sex.
Unapompenda mtu moyo hautoonesha hata siku moja kama umempenda bali hutumika akili na organ za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.