Kati ya mikoa 15 iliyopo hapo kuna mkoa mmoja tu wa kanda ya ziwa. Ila kuna mikoa mi3 ya kanda ya Kaskazini. Watu wa Kaskazini na Zanzibar umeshindwa kuwasema inakomaa ma kamda ya ziwa🤔
Huyu mama Bi Fatma Mwassa aliyekiwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera kakosea wapi? Alikuwa mtu mzuribhasa kwa Kagera. Kwa hiyo ndo mama kam dump? Hajampeleka popote?🤔
Unathibitisha uwepo wa NGOSWE kwa kutumia kitabu cha NGOSWE-MAPENZI KITOVU CHA UZEMBE??? Unathibitisha uwepo wa Spiderman kwa kutumia CD ya movie ya Spiderman???? Sijui wafia dini huwa mnatumia akili gani🤣🤣🤣
Waislam watumpumzishe kwanza kwa kweli. Uongozi wao always unakuwaga mbaya sana! Nchi huwa inaharibika sana. Ukweli mchungu☹️
NB. Mimi ni mwafrika niliyejitambua, sina dini
Ndiyo, kuna maeneo maalum ndani ya Mbuga ya Serengeti ambayo hayaruhusiwi kufikiwa na wageni bila kibali maalum. Hii ni kwa sababu mbalimbali:
1. Kulinda mazingira nyeti: Baadhi ya maeneo ni makazi ya wanyama wanaozaliana au kupumzika, hivyo kuzuia usumbufu ni muhimu kwa uhifadhi wao.
2...
Kumbe kelele zote wakenya zipo kwenye namba (spending/figures) tu ila Watz tumewazidi standard of living! Imagine tunawazidi hadi access ya internet😆😆😆
Nakataa! Kenya wanatuzidi uchumi wa kwenye makaratasi lakini kwenye standard of living tunewaacha mbali sana. Ikumbukwe maana halisi ya uchumi ni life standard ya watu na sio namba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.