tatizo limeanza baada ya kuamua kujenga hoja kwa kuzingatia misingi ya vyama tunavyotoka, hapa hata km jibu halipatikani ktk vyama hivyo itafanyika jitihada ya kuhakikisha majibu yanapatikana ndani ya vyama hivyo hata km hayana mantiki yoyote.
mkuu Nasjaz yapo mengi ambayo sisi km taifa tunayatekeleza, kwa mfano daraja letu la kigamboni lenye urefu wa mita 680 lipo on course now despite of few people in the affected area who has refused to take their compensation, tatizo la ndugu zetu wakenya wanajiona wanajua sana,ndio walioelimika...
nafikiri tatizo halijaonekana bado ndio maana hakuna umuhimu huo,hii inanifanya niamini wanaume ni kiumbe cha tofauti kidogo,please tupeni heshima yetu,nyie ndio mna mapungufu kibao ndio maana mnahitaji kurekebishana,kufunzana na kuelekezana lakini sisi ma 99.9% hatuhitaji darsa la namna...
umezungumza ukweli mtupu mkuu, kama tunataka kweli kulikomboa taifa hili lazima tuanze kurekebisha mfumo wetu wa kielimu kwanza, hapa partisan politics lazima ziwekwe pembeni na tufanye kazi kama taifa moja......mhe Mbatia kalianzisha hilo hivyo ni kazi kwetu kuliendeleza kwa faida yetu sisi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.