Mkuu hata mimi nmeangalia hyo habari mpaka mwili ukasisimka.Eti wana sera ya kuwazuia watoto wasio raia wa Afrika Kusini wasisome Shule za Serikali.Yaani kwa mfano wa ndg zetu waliokimbia vita kuja kwetu watoto wao hawaruhusiwa kusoma Shule za Serikali.
Hii ni hatari
Mkuu nimependa uzi wako
Mimi kuna kipindi nlianza kusoma ila tatizo ninalokumbana nalo ni kupata muda,ila kwa uzi wako huu ntaanza rasmi tena kusoma
Labda nikuulize wewe unasoma vitabu gani,vya srori au vitabu vya taaluma yako?
Kwa hiyo kwa sababu tumetumia pesa nyingi ndio sababu ya kupitisha tu Katiba hata kama ni mbovu?
Gharama za kupitisha na kuwa na Katiba mbovu ni kubwa mara 100 ya kuandaa Katiba yenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.