Recent content by Wij

  1. Wij

    Malalamiko ya Makato ya Deni la Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) Mwezi Juni, 2021

    Kwangu deni limepungua tsh19 tu lakini wamekata zaidi ya tsh180k. Huu ni uhuni!
  2. Wij

    TANZIA Profesa Peter Msaki afariki Dunia

    Ingia kwenye www.researchgate.net utamkuta.
  3. Wij

    TANZIA Profesa Peter Msaki afariki Dunia

    Tatizo ukisikia nuclear physics unawaza mabomu tu. Nuclear physics ni dhana pana sana. Kwenye kilimo, tiba, nishati mpaka kwenye hayo mabomu.
  4. Wij

    Nifikishie ujumbe huu kwa Askofu Dr Bagonza. Askofu wa Dayosisi ya Karagwe

    Askofu Bagonza hajawahi kuwa askofu wa jimbo la Rulenge. Unachokiandika nadhani hukijui
  5. Wij

    Somo la Physics, Chemistry Mazengo Secondary

    Tandike alikuwa na porojo sana
  6. Wij

    Kiswahili gets minister's stamp to be taught in SA schools

    kwa uandishi wa hivi inabidi uingie darasani ujifunze kuandika kiswahili
  7. Wij

    TANESCO: Tunakanusha tatizo katika mfumo wa manunuzi ya LUKU

    Tunaomba majibu.kwa nini hakuna huduma za kununua umeme kwa njia ya mpesa tangia jana?
  8. Wij

    TANESCO: Tunakanusha tatizo katika mfumo wa manunuzi ya LUKU

    Hawa jamaa waongo sana.Tangia jana nanunua umeme bila mafanikio
  9. Wij

    Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

    Nadhani wewe ndio una low IQ. Mtoa mada ameongelea mambo mengi hili unalolisema likiwa mojawapo. Wewe umechagua kushupalia hapo maana ndio umepaelewa, mambo mengine aliyoyaongelea yamekuzidi upeo.Kwa hiyo usiwe na wivu ndugu yangu kama hujaelewa hayo mengine.Wajinga watadharau waelevu watatoka...
  10. Wij

    Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

    Ukitaka kujua Tanzania bado sana,angalia comment za humu.Nazungumzia wale wa -ve comment.mtu kaweka reference lakini unakuta mtu bado anakomaza shingo kwamba haiwezekani.Na huo ndio mtazamo wa jamii ya walio wengi.Tukija kuzinduka tutakuwa tumeshapotea.
  11. Wij

    RC Dar apiga marufuku watendaji walio chini yake kusafiri nje ya jiji bila kibali chake

    Huu ni ubashite kiwango cha phd.kwa hiyo mtu akitaka kwenda kibaha mail moja au bagamoyo aombe kibali kwa bashite. Kwa kweli ni fedheha kuongozwa na watu wa namna hii. Yaani eti bashite ndo think tank ya mkuu wa kaya na nchi. Hatari sana
  12. Wij

    Mkuu wa Wilaya ya Ubungo aagiza Waziri Mkuu mstaafu Sumaye akamatwe na polisi popote alipo

    Hivi hawa viongozi wa hivi mkulu kawatoa wapi. Ila hayo mambo ya hivyo anayapenda kweli, na unaweza kushangaa anapandishw cheo kuwa RC. Chuki kama hizi zinahatarisha usalama wa nchi.
  13. Wij

    Anachotafuta Makonda ni laana, anafokea maafisa Elimu

    Kwa hiyo we unaona swala la michezo halistahili pongezi.Yeye ameona bora washindwe pote kwenye taaluma na michezo,kwa maana wasingeshinda asingewaandikisha maelezo. Je muda wote alikuwa wapi,kwa nini asubiri siku ya kupongezana anakuja na haya maigizo ya kiubabe.
Back
Top Bottom