Kipara kilinianz mapem mno 19/21 nikawa na dalili 25 kipara 28 kipara kamili now kipara sugu
Kwenye 21 had 29 kilinkosesha raha kbsa nikisikia.mtu.anasema we unakipara nakosa furah ,
Nyoa kipar relax, au vaa wigi 🙃
Kwann ata seikali haiwazi kubana matumiz(Magari yote ya serikali watumie /wanunue ya hadhi ya chin kdogo then yafungwe gesi ) na kuleta mzgo moja kwa moja , kodi tuu za usajili wa Gari ni kipngele, Mzgo mpe punda.
Tunawalisha , Tunajilisha alafu tunawapigia makofi,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.