Recent content by white_charcoal

  1. white_charcoal

    GE2025 Zitto Kabwe: Polisi atakayebeba Kura Bandia ni halali yetu

    Hatimaye! Kumbe watu ku deal na polisi wanaweza ila ni kwaajili ya uongozi pekee na nafasi za kujaza matumbo na sio kuokoa manyanyaso ya raia na hayo yasemwayo ya utekaji 🥹 poor TZ
  2. white_charcoal

    Derby: viongozi wa Yanga kuitwa kesho

    1.Njaa 2.Dhiki 3.mihemko 4Kukosa uhakika wa maisha. 5.Kutojiamini 6.Uvimilivu wa mateso bila kuwaza fikra mbadala. Kama mtu anaweza kuivumilia tecno simu ambayo Hadi watoto wa sekondari wanayo, achiliambali madhaifu yote atakwambia inakaa na chaji sana. KIFASIHI, mtu wa aina hii anathamini...
  3. white_charcoal

    Derby: viongozi wa Yanga kuitwa kesho

    Kweli hii ni nchi ya watu masikini na dhiki ndiyo uzalendo, sijawahi ona support ya watawala Kwa Uzi uliopostiwa kwenye simu ya maana. Ila mtoa Uzi na watumia tecno wenzio mkobize kuunga mkono makandokando
  4. white_charcoal

    Askofu Gwajima amewahi kumkimbia shetani kwa gari kutoka kanisani kwake akatelekeza kanisa kwa shetani akaenda nyumbani. Kinyume na Biblia

    Mkuu unaifahamu habari ya SAMSON wa Delila? 1.Samson hakupaswa kula kitu haramu kutokana na maagizo ya mungu mwenyewe, katika ubunadamu alikula asali iliyopo katika mzoga wa Simba. 2.Samsoni aliwahi kulala na mwanamke katika dangulo (Kahaba). Mifano ni mingi ila tuishie hapa nisitumie energy...
  5. white_charcoal

    Ipi ni njia sahihi ya kufanya biashara na mwanamke?? Kumfungulia biashara yake au Biashara yako yeye ndo asimamie?

    Ni ngumu kueleza undani wa mambo ila utapima Kwa ukubwa wa kuzuiwa. Siku zote penye uzio imara nani IPO maana.
  6. white_charcoal

    Ipi ni njia sahihi ya kufanya biashara na mwanamke?? Kumfungulia biashara yake au Biashara yako yeye ndo asimamie?

    Well said mkuu, wapo wanawake wa namna hii ila tatizo idadi yao ni ndogo sana ndiyo maana napata sana ukakasi kusema wanawake wazuri wapo. Uchache wao unafanya nione ni kama bahati na sibu tu kama michezo ya kamari kuwa tunaicheza Kwa kutegemea miujiza na sio nguvu ya uwekezaji Wala uhakika wa...
  7. white_charcoal

    Naumia na kuteseka sana moyo wangu mpaka natokwa na machozi nikiona mtu anamtukana Au kumdhalilisha na kumvunjia Heshima Rais Samia

    Kwani kudai mabadiliko ya kisheria nayo ni kumvunjia mtu heshima? Huku kote mnapaleta nyie Kwa kukalia haki za wananchi watu wakizidai Kwa njia wanazoziweza mnasema zimevunjwa heshma. Uongozi ni dhamana na kukubali kushindwa ni jambo la kawaida ila unapokomalia basi walimwengu pia watakukomalia...
  8. white_charcoal

    Ipi ni njia sahihi ya kufanya biashara na mwanamke?? Kumfungulia biashara yake au Biashara yako yeye ndo asimamie?

    Shida ni kwamba mmoja kati ya maelfu hawezi kubadili facts kuhusu wanawake, tunazungumzia kuhusu idadi kubwa ya wanawake ambao ni zaidi ya 98%. Huyo mjomba wako akitumika kama Mfano basi huku nje ataponza wanaume wengi sana Kwa kuigeuza bahati yake kuwa mwenendo wa maisha ilihali tunajua kuwa...
  9. white_charcoal

    Mwalimu Nyerere alikuwa ana uwezo mdogo sana, ila jina limekuzwa na chawa wake

    Kwa sisi watu wa fasihi tumeshafahamu kuwa lengo c kutumia jina. La. Mwl baali ni cheo. Kuakisi. Huyu wa.sasa🤣🤣
  10. white_charcoal

    Mke wangu ni miongoni mwa wanawake waliopata mume ambae ni “Full package”

    Nkiona yupo mtu kama ww anayehisi yupo mwanamke wakutosheka Kwa sifa fulan za mwanaume X over Y Dah! Nauzunika sana for you brother. Enjoy your moment bro you are not the best it's just your turn 🌚
  11. white_charcoal

    Ipi ni njia sahihi ya kufanya biashara na mwanamke?? Kumfungulia biashara yake au Biashara yako yeye ndo asimamie?

    Ni kweli mkuu kama kashabadilisha. Vingi basi Bado Mume. Best of lucky✈️
  12. white_charcoal

    Ipi ni njia sahihi ya kufanya biashara na mwanamke?? Kumfungulia biashara yake au Biashara yako yeye ndo asimamie?

    Mkuu sie walimwengu tumeshakusikia, ombi langu lililobaki ni usisahau Kuni tag tu mkuu we mpe hizo pesa na kuza biashara zake, alafu utapata kujua kuwa dunia ilipofikia sasahivi hakuna mtu special Kwa mtu mwingine Wala huyo wa ndoto unayemsemea. Au nimeghairi usinitag tena usije ukajinyonga...
  13. white_charcoal

    Ipi ni njia sahihi ya kufanya biashara na mwanamke?? Kumfungulia biashara yake au Biashara yako yeye ndo asimamie?

    Na ukimuoa usimdinye maana utampunguza uvulanawake atabaki nyoka wa bustan ya Eden.
  14. white_charcoal

    Rais inawezekana vipi kujibizana na Josephat Gwajima? Mbona sielewi!

    Mkuu hayo mambo ya kufundshwa kuwa mapadre umesema wewe, Mimi hoja yangu ni watendaji na uhuru walionao wa kufanya mambo mengine ikiwa pamoja na kumtumikia taaluma nyinginezo ukitoa utumishi wa mungu, hyo njo nafasi inayomfanya pia gwajima kuwa Mwanasiasa ukiachilia mbali kuwa kiongozi wa dini...
  15. white_charcoal

    Ipi ni njia sahihi ya kufanya biashara na mwanamke?? Kumfungulia biashara yake au Biashara yako yeye ndo asimamie?

    Mkuu Ningunu kuitengua torati uliyojiwekea kichwa I, All the best mkuu fanya unachoona ni sawa ila Uzi utaofuata in less than five years of her making it in life usiache kunitag🙏
Back
Top Bottom