Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 23,011
- 32,907
[emoji599] Bodi ya ligi imeandika barua kwenda kwa Rais wa Yanga Eng. Heris,na wajumbe wote wa kamati ya utendaji ya Yanga ili kufanya kikao maalum cha kujadili mechi namba 184 kati ya Simba na Yanga.
Kikao hicho maalum kimepangwa kufanyika juni 9/2025,saa 4 asubuhi kwenye ukumbi wa mikutano wa Bodi ya ligi,uliopo Ilala Dar es Salaam. Ikumbukwe hadi sasa Rais wa Yanga yuko Marekani kushuhudia fainali za FIFA Club World Cup.
[emoji599] #OKTOBATUNATIKI[emoji736][emoji736]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
View attachment 3360420
Kikao hicho maalum kimepangwa kufanyika juni 9/2025,saa 4 asubuhi kwenye ukumbi wa mikutano wa Bodi ya ligi,uliopo Ilala Dar es Salaam. Ikumbukwe hadi sasa Rais wa Yanga yuko Marekani kushuhudia fainali za FIFA Club World Cup.
[emoji599] #OKTOBATUNATIKI[emoji736][emoji736]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
View attachment 3360420