Mwambie huyo boya....hakumbuki kuwa kiwete alishawah kuxema ni kheri slaa aende ikulu kuliko lisu aingie bungeni??? alikuwa na maana kwamba kichwa cha lisu ni sawa na vichwa vyote vya sheria tanzania.....ogopa kama kiwete anavomuogopa
We chalii angu ndo hujielewi kabixa aani...coz uwezo wa makinda ulikoishia ndo wa makamanda wetu ulikoanzia na ndo maana hoja za msingi bungeni huwa wanawatafutia sababu ili wawatoe nje ndo wawe na uwezo wa kupitisha hoja zao.....maana makamanda wakiwepo hakipiti kitu chaliii ara.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.