Recent content by white skunk

  1. white skunk

    Apple ijiandae kuzikwa na ni dalili mbaya kwa Samusng

    Walipofikia huawei kwa 5g huwezi kulinganisha na hao na ndo maana marekani wakaanza chuki, kumbuka huawei wanaanza kutumia 5g juni.
  2. white skunk

    Apple ijiandae kuzikwa na ni dalili mbaya kwa Samusng

    Iyo ya pre cambian era, old and irrelevant.
  3. white skunk

    Apple ijiandae kuzikwa na ni dalili mbaya kwa Samusng

    Huawei ni namba 2 kwa uuzaji wa simu duniani ishaipiku apple kwaiyo apple ashindane na kampuni nyingine sio huawei
  4. white skunk

    Apple ijiandae kuzikwa na ni dalili mbaya kwa Samusng

    Kweli si mjuzi maana huwezi kutaja Tanzania kama mmoja wa soko la huawei. Nchi zilizokonda majority ni tunatumia bidhaa za transion holdings(tecno, itel na infinix). Unapoongelea soko la huawei na samsung unatakiwa uguse asia na Europe
  5. white skunk

    Ulipopata pesa nyingi kwa mara ya kwanza uliifanyia matumizi gani?

    Nakumbuka nikiwa chuo nilidakaga m1. 7, nilipoteza appetite ya wali maharage, nilishikwa masikio nikanunua laptop mbovu laki 6 na nusu ambayo ilikufa baada ya mwezi tuu. Nilinunua boda boda maarufu kama kigoda laki 7 ambayo matengenezo yalizidi faida. Ndani ya wiki 2 akauti ilibaki na mia 4 na...
  6. white skunk

    Nahitaji Gaming Machine (CPU Only) exchange with Laptop

    Hapo lazima ununue pc yenye discrete graphic card ya nvidia au amd na ukiongelea nfs payback kuplay high resolution uwe na nvidia 960 na kuendelea, kwa pc yako hata autodesk maya ina run kwa shida mana inatumia intel hd integrated. Nunua tower core i7 alafu agiza kadi ya nvidia online.
  7. white skunk

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Too early to say that, ngoja ajax waje watutolee aibu
  8. white skunk

    Ubalozi wa Marekani Tanzania waguswa na kifo cha Dr. Reginald MENGI

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Back
Top Bottom