inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 17,966
- 18,259
kombora la kwanza afghanistan lilitua msikitini..kisha wakaanza kuonesha movie za x..kipidi hicho nafikiri ulikua unaoga njeMarekani anafanya vita vya kisiasa na kiuchumi, sio za kidini, ndio maana mwisho wa siku lazima waakeze katika Nchi husika, Baada ya Kuondoa utawala uliopinga maswala yao ya uwekezaji.
Hawaingii msikitini na kuwauwa waslam bali huondoa utawala husika Kwa kuwatumia wazawa.
Lakini nyie waslam vita vyenu, vimekaa kimaskini na kichawi.. Mara kujitoa muhanga, nakujiuwa na kuwauwa watu wasio na hatia, mara muvamie ndani ya makanisa, mara mahotelini na kwenye mikusanyiko ya watu mfano Al-baabu kenya.