Hizi mada mziache huko huko fb... Kwan wewe mwanajeshi kununua gari inakuhusu nin?? Katika maisha umeambiwa kila mtu mpk ajenge? Unaweza jenga lkn nyumba yako na banda la mbuzi visiwe na tofaut... Mbna hamwasem wahind wanaomilik magar ya mamilion lkn wanakaa kwenye nyumba za NHC?? Ukiona maisha...
Hahahhaa.. Kitambo sana.. Sie enzi hizo tulianzisha chama cha kuleta vyakula.. Bas kwenye kikundi kila mmoja akawa na zam yake.. Hapo yule aliekua mambo saf kdg zam yake ndio ilikua inasubiriwa kwa hamu sana maana analeta bites kibao.. Wengne ikifika zamu yao ni balaa.. Mara mihogo mibichi...
Unajua kila mtu na taste yake.. Na isitoshe mapenz hayaji kwa factor moja.. Hata ukolon pia ulikuja kwa factor kibao tu... Nakupa mfano tu... Smartphones zote karbia zina kubali kila app ambayo unatumia.. Kwann unapoenda kununua unabagua.. Mara iphone mara samsung mara htc.. Na bado hizo pia...
Habari za asubuhi wanajamvi,
Mimi ni mnunuzi mzuri sana wa bidhaa za mtandaoni sana sana ebay. Leo katika pita pita zangu nikakuta kuna necklace imetengenezwa kwa sarafu yetu ya Tshs 1 ya mwaka 1992 inauzwa kama Usd 15 hivi.
Swali langu je sheria zetu zinaruhusu sarafu hizi kutumika kama...
Na value ya muhongwaji pia broo... Sio dem anakuja na miguu yote ya kushoto... Minyusi kama mswaki.. Nyuma kapigwa pas kama muhindi wa milima ya Shimla.. Alafu kirahis rahis nimpe laki... Atasubir sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.