Recent content by Whatsapp

  1. W

    Rais ondoa Expatriate Allowances

    Haya malipo yanayoitwa expatriate allowance kwa watumishi wa kigeni walioajiliwa na serikali kwa mkataba ni sehemu inayofuja pesa za umma. Kwa mfano katika vyuo vikuu na vishiriki mbalimbali hawa wageni hulipwa mshahara kutokana na cheo chake, pia hulipwa expatriate allowance ambayo ni 50 %...
  2. W

    Ubobezi katika sheria wa Tulia Ackson ni upi?

    No research, no right to speak. For the time being, i reserve my comments
  3. W

    Kamati Kuu CCM yatoa uamuzi kuhusu wanachama sita waliokuwa wamefungiwa

    Mimi naona watwangane makofi tu kinuke
  4. W

    Msajili wa Vyama vya siasa amuonya Limbu kujitambulisha kama Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo

    Kweli ACT ndiyo CCM...ni majina tu ndo yanayotuchanganya...lakini ingekuwa vyema ACT kingeitwa ACTCCM yaani Active CCM
  5. W

    Naunga mkono mapinduzi ya Burundi, Jeshi lisilaumiwe

    Hata mimi..pambavu zake...umejaa uchu mpaka kwenye masaburi
  6. W

    Nkurunziza's flight fails to make landing at the Bujumbura airport

    Hili fundisho kwa wezi wa lumumba
  7. W

    Hili limeshakuwa tatizo: Dola sasa ni zaidi ya TZS 2,350/= Kikwete, Ndulu, Wizara wapo kimya!

    Kikwete alipata gpa ya gentlemen pale udsm, hii inawezekana amejaza makarai ya supplementary kwenye cheti chake cha matokeo
  8. W

    Samwel Sitta aanikwa uovu wake

    Tangu aongoze hujuma dhidi ya rasimu ya wananchi huyu mzee amepoteza mvuto mbele ya jamii. Hana tofauti na mafisadi
  9. W

    Tatizo la mkopo HESLB

    Bodi ya mikopo ina ombwe la uongozi. Wafanyakazi wanafanya kazi kwa mazoea...mimi nina mpango wa kuwaburuza mahakamani kwa kukiuka mkataba wa ukopeshaji
  10. W

    TV4Sale BNL Electronics: Smart TVs, LED Tvs for sale!

    Kaka nataka led series 5 inch 32 Napata?
  11. W

    Samsung fridge for sale

    Nikupe laki 4
  12. W

    Toyota Passo (MPYA) - 7.3Mil

    6 M nikupe kesho
  13. W

    Makosa ya Gwajima mahakamani

    Hii kesi ya kitoto kabisa...swahiba wa chenge, kova amejidharilisha
  14. W

    Baadhi ya dalili za taifa liangukalo

    Bmk minus ukawa
Back
Top Bottom