Haya malipo yanayoitwa expatriate allowance kwa watumishi wa kigeni walioajiliwa na serikali kwa mkataba ni sehemu inayofuja pesa za umma.
Kwa mfano katika vyuo vikuu na vishiriki mbalimbali hawa wageni hulipwa mshahara kutokana na cheo chake, pia hulipwa expatriate allowance ambayo ni 50 %...
Bodi ya mikopo ina ombwe la uongozi. Wafanyakazi wanafanya kazi kwa mazoea...mimi nina mpango wa kuwaburuza mahakamani kwa kukiuka mkataba wa ukopeshaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.