Recent content by Wenaya

  1. Wenaya

    Fainali ya uefa 2016/17 ni muhimu kwa watu hawa kwa sababu zifuatazo

    Wakati tukiendelea kuisubiri kwa hamu mechi ya Fainali ya Michuano ya UEFA Champions League kati ya Real Madrid dhidi ya Juventus ni wazi wapo baadhi ya wachezaji na wakufunzi ambapo kila mmoja kwa nafasi yake fainali hii ina umuhimu mkubwa sana kwake kutokana na uhalisia wa maisha yake ya soka...
  2. Wenaya

    Ni ipi kero inayoikabili jamii yako na unatamani kuisaidia ?

    Matumizi ya Teknolojia yameshika kasi sana katika ulimwengu huu na imekuwa ni chanzo cha kutatua baadhi ya changamoto mbali mbali zikiwemo kubwa na ndongo ambazo kimsingi zimekuwa zikizisumbua jamii zetu. Kila sehemu katika Tanzania yetu kuna changamoto zake kutokana na idadi ya watu...
  3. Wenaya

    Kwanini waumini wengi wa makanisa ya 'kilokole' ni wanawake?

    Wingi wao inaweza kuwa sababu kuu ya wao kuonekana Makanisani lakini pia hata wanawake wanafanya mambo mengi mabaya hii yote inatokana na kuwa wepesi katika kushawishika. Wanashawishika haraka Kucommit signs kulinganisha na wanaume ambao mioyo yetu migumu haikubali kufanya kosa haraka. Mifano...
  4. Wenaya

    Ni kweli kuwa Diamond anamuogopa King Kiba???

    Mtazamo wako. Elezea na wewe.
  5. Wenaya

    Ni kweli kuwa Diamond anamuogopa King Kiba???

    Pamoja sana.[emoji109]
  6. Wenaya

    Ni kweli kuwa Diamond anamuogopa King Kiba???

    Kwanza ishu ya Fiesta iko wazi sasa hivi Diamond ni Balozi wa Vodacom na Tamasha la Fiesta kwa Mwaka 2016 lilikuwa liko chini ya udhamini wa Tigo Tanzania kwa hiyo ilikuwa ni ngumu kwa Diamond kuperform kwenye Jukwaa la Fiesta kwa hiyo yeye kuwa Nigeria ni kwa ajili ya kukamilisha ratiba zake za...
  7. Wenaya

    Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

    Pongezi za dhati kwa Paschal Mayala kauliza swali zuri sana ingawa la pili halijajibiwa inavyotakiwa.
  8. Wenaya

    Zitto: Muswada wa Huduma za Habari(Media Services Bill 2016) ni HATARI

    Kimsingi muswada huu ukipitishwa ukawa sharia vijana ambao walikuwa wameigeuza mitandao kuwa sehemu ya kipato chao automatically wanaanza kufeli Maisha maana Blogs na webs Zao hazitofanya Kazi tena mpaka usajili Na haijajulikana usajili utakuwa how much kwa maana what I believe kwa dunia hii ni...
  9. Wenaya

    Waandishi bora 25 wa Tanzania ni hawa wafuatao...

    List nzima ni nzuri ila Michuzi amekaa pahala pasipokuwa pake kuna waandishi wenye sifa za kuwa hapo kutokana na weledi wa habari zao. Mfano mzuri ni Justus Mwigulubi wa Mwanahalisi.
  10. Wenaya

    Mtoto wa Magufuli (Jesca) sijui alifikaje Chuo Kikuu?

    Kwani alifikaje? Kama hakupita Certificate , Diploma mpaka Degree nae aondolowe. Maana itakuwa ni aibu mtoto wa Mkulima anarudishwa ila wa viongozi wanapeta.
Back
Top Bottom