Smh, sijui hata watatumia vigezo vipi kuajiri coz watu ni wengi nafasi zilikuwa chache mnoo......washasema kama hukuweka payingslip ya leseni za mwaka Jana ndo basii
Yule aliyepongeza mauaji ya kibiti mbona policcm walimkamata? Hakuwa na uhuru wa kuongea? Aliyesema kuwa msimfananishe baba wa taifa na vitu vya ........ Mbona alikamatwa? Yy hakuwa na uhuru wa kuongea? Hata Huyo angewajibishwa
Hivi, Hawa watu wasiofahamika Tzni akina nani??
Waliomteka Roma hawafahamiki....
Waliomteka Ben hawafaamiki.....
Waliopiga mabomu ofisi za wanasheria hawafahamiki ......
Waliojaribu kumuua Lissu hawafahamiki......
Hivi kile kitengo cha upelelezi kina kazi ghani?????
Pole sana, lakini natamani serikali ingetuajiri japo miez minne tu kisha tutumbuliwe, mm Nina kipaji lakini bado inahitajika pesa......hatujaajiriwa tangu 2015 hafu Leo hii wanatangaza nafasi 3000????? Hawako serious, nashauri ulime kama maji huko uliko sio shida, kakope mbegu za mboga dukani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.