Recent content by wellknown

  1. W

    Kuondoa ukakasi akaunti ya kumchangia lissu iwe ya kwake au mke wake full stop!

    Wengi wanaobwabwaja hawajatoa hata sh 500 Waliotoa wapo kimyaaaa
  2. W

    NACTE: Hatutambui nursing assistant wala medical attendant

    Medical attendant sio wale wanaovaa nguo za kijani? Kama hawatambui mbona ndo wamejaa mahospitalini wanachoma sindano??
  3. W

    Ajira mpya zitatoka lini?

    Smh, sijui hata watatumia vigezo vipi kuajiri coz watu ni wengi nafasi zilikuwa chache mnoo......washasema kama hukuweka payingslip ya leseni za mwaka Jana ndo basii
  4. W

    Polisi wamewakamata wanachama wa CHADEMA waliojitokeza kuchangia damu Temeke hospitali leo

    Damu zenyewe tunachanga bure au kwa kasoda Hosp wanauzaaaa
  5. W

    Polisi kamateni huyu kwanza na wengine wenye tabia hizi

    Yule aliyepongeza mauaji ya kibiti mbona policcm walimkamata? Hakuwa na uhuru wa kuongea? Aliyesema kuwa msimfananishe baba wa taifa na vitu vya ........ Mbona alikamatwa? Yy hakuwa na uhuru wa kuongea? Hata Huyo angewajibishwa
  6. W

    Maxence Melo: Pole sana Tundu Lissu, Mungu akuponye!

    Hivi, Hawa watu wasiofahamika Tzni akina nani?? Waliomteka Roma hawafahamiki.... Waliomteka Ben hawafaamiki..... Waliopiga mabomu ofisi za wanasheria hawafahamiki ...... Waliojaribu kumuua Lissu hawafahamiki...... Hivi kile kitengo cha upelelezi kina kazi ghani?????
  7. W

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Naona wanataka kum Doctor Ouko
  8. W

    Suala la ajira nchi hii ni siasa

    Pole sana, lakini natamani serikali ingetuajiri japo miez minne tu kisha tutumbuliwe, mm Nina kipaji lakini bado inahitajika pesa......hatujaajiriwa tangu 2015 hafu Leo hii wanatangaza nafasi 3000????? Hawako serious, nashauri ulime kama maji huko uliko sio shida, kakope mbegu za mboga dukani
  9. W

    Rais Magufuli, kuwataabisha vijana kwa kuwanyima ajira au kuwawekea vikwazo hakukusaidii lolote

    MWe, wangetuajiri hata miezi minne tu kisha atutumbue........
  10. W

    Usikate tamaa

    Ujumbe unatia moyo sana.... SHIKAMOONI WENYEJI. .
Back
Top Bottom