Huyu mbwiga sijamuelewa! Mwl km anafundisha somo la kiswahili akipewa mtihani wa kidato cha pili unasema hawezi kuufanya? Njoo hapa nikutafutie swali hata la drs la 7 tuone kama utaliweza!
Mbona mnaleta utetezi usio na tija kwa taifa letu? Nyie mmejuaje kama hayo aliyopost ni ya uongo? Mmekaa kishabiki tu, issue kama ina maslahi ya nchi tuzungumze ukweli sio mmekaa kuteteatetea tu hapa
Kama anafundisha watoto 45 na madarasa na nyumba za walimu zipo hamna shida! Lkn sio darasa lina watoto 120 hamna pa kuwaweka halafu utegemee wote wajue kusoma hata kama nitaingia darasn kila siku usitegemee pisitive results
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.