Recent content by Wechnov

  1. W

    JamiiForums Tanzania Biashara haramu ndio biashara kubwa duniani

    Nimeandika full detailed information then nikafuta, back then when I was still a young dude Chirundu to Beight Bridge used to be my territory. In short, it's money 💰.
  2. W

    JamiiForums Tanzania Pombe ni UKIMWI wa akili. Hadidu za Rejea ni Uislamu, Zanzibar, na Wachaga

    Hapo yoyote mwenye akili timamu lazima atachagua pombe.
  3. W

    JamiiForums Tanzania Pombe ni UKIMWI wa akili. Hadidu za Rejea ni Uislamu, Zanzibar, na Wachaga

    Mpaka mara ya mwisho naabgalia statistics Germany 🇩🇪 ndiyo ilikuwa inaongoza kwa ulevi duniani, hivi uchumi wao uko vipi kwa sasa. Nasikia kama wamei-overtake Japan na kuwa number three kiuchumi na wanaendelea kuwa number one kwa Europe. Back to the topic: Ukiona pombe zinakupelekesha na badala...
  4. W

    JamiiForums Tanzania Hatimaye wazawa wamvaa Kafulila kuendesha mradi wa UDART

    Tatizo la TZ watu kurundikwa kama magunia ya viazi huwa wanajinea sawa tu, itachukua muda sana kufika mtu akiona seats zimejaa asubiri basi jingine.
  5. W

    JamiiForums Tanzania Pep Guardiola mbioni kuongeza mkataba mpya Man City

    Ni Pep, tokae Man City imenunuliwa na wawekezaji wa Abu Dhabi ilikuwa chini ya makocha before Pep lakini haikuwahi kuwa dominant mpaka alipoingia Pep.
  6. W

    JamiiForums Tanzania Benz inayopumua: Jiunge nami tujifunze mengi

    Bado nakusoma, huu mwandiko umekuja style ya memba flani(RIP), nahisi nawe utakuwa kama yule ila kidogo uta-act wa kishua. Hata mie na uzee huu sometimes for the sake of my mental health huwa nasoma hizi blah blahs kwa minajili ya relaxation. So you're in between Benz and Pussy, this sounds...
  7. W

    JamiiForums Tanzania Hatimaye wazawa wamvaa Kafulila kuendesha mradi wa UDART

    Scrutiny ifanyike: -Kuna uwezekano mipanga imeshapangwa behind the scenes hichi kinachofanyika ikawa ni danganya toto. -Kuna uwezekano hii ikawa ni kiini macho tu kwamba anayeweka pesa ni mtu wa nje ya nchi au mwanasiasa ambaye hataki maswali ya kwamba pesa amezipata wapi. Kama kikao chao ni...
  8. W

    JamiiForums Tanzania Zuchu aachane na Wasafi asimame mwenyewe kama Nandy ! Atafute mume aolewe muda ni sasa awe na familia

    Suala ni kuipata au la, hiyo ya 'haki yake' uko nje mtiririko unayoenda. Si kila mwanamke anaipata/ataipata.
  9. W

    JamiiForums Tanzania Kwa nini muziki wa Congo unapendwa na umejipatia umaarufu sana Tanzania?

    Naona unaandika huku una-drive, angalia usisababishe ajali.
  10. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dada yangu kipenzi nakukumbusha tu!

    Unatwanga maji kwenye kinu.
  11. W

    JamiiForums Tanzania Wazungu/West wako mbali sana, wamefikia hadi kwenye supu ya box/kopo!

    Na ndiyo maana life expectancy ya huko iko juu sana kulinganisha na kwetu.
  12. W

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Mara: Lissu akosoa uokoaji wahanga wa Kariakoo

    Tume ndiyo mdudu gani, unajua kutoka Kariakoo mpaka maeneo ya Kisutu hii si mara ya kwanza kwa ghorofa kuanguka na tume zilishaundwa sana. Tume ni kiinimacho cha kuvuta muda waiting for the heat to cool down.
  13. W

    JamiiForums Tanzania Gari la mwendokasi la express, dereva kusimamia kila kituo kisa watu wanaomba msaada inakera sana

    Una usafiri lakini kimbembe cha traffic jam kinakutia adabu, air-conditioning ndiyo kitu kitakachopunguza machungu ya adha za msongamano wa foleni ya magari barabarani.
  14. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naandika haya kwa uchungu sana

    Wazazi wako wangekataa ndoa usingekuwepo kuandika hii thread. Ndoa ni tombola, you either get a wrong and terrible wife hapo lazima utajuta kuoa lakini ukipata the right woman nawe ukawa ni mume sahihi kwake utaamini ya kuwa you're the happiest man on earth. 20yrs plus ndani ya ndoa na mpaka...
Back
Top Bottom