Kama kawaida ya wabongo wenye chuki zao kuponda hata kama kitu hawakielewi,kasema analipwa $ 2,800 -3,500 kwa mwezi na ni kweli youtube huwa wanalipa pesa sasa wewe UAMINI AU USIAMINI yeye hayamuhusu wala hajasema lazima uamini kwa sababu anafanya muziki kwaajili ya maisha yake na si yako...
"Angalia ulivyopata kilema cha maisha kwa kuvunjika mguu,kwasababu ya gari lako mwenyewe tena ulilipata kwa mkopo,laiti ungejua hata mkopo wenyewe ungeupotezea" Sasa tafakari kama kila kitu ukifikirie kwa njia hii je kuna sababu gani ya kuishi ........Vitu vingine ni lazima vifanyike ili iwe...
Dawa yao ni NDOGO MNO,wakati anataka kuongea mtafutie shughuli itakayomfanya awe bize kidogo,kwa mfano muambie samahani mpenzi hivi nguo zangu ulishazinyoosha ....Au vipi bebi waweza kunitengenezea juice.... Yaani kwa kifupi awe bize,ila chunga sana usiongee kiukali na pia asijue kama hutaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.