TANESCO Tunawashukuru Sana Kwa kazi nzuri mnayofanya kuhakikisha huduma zinakuwa Bora zaidi.
Ingawa tunaamini changamoto nazo huwa hazikosekani hasa kwa kukosa umeme kwa maeneo mengi ya Dar es Salaam.
Binafsi naishi hapa DAR (Chanika), katika ENEO la Chambala. ENEO hili lina wakazi wengi mno...
TANESCO Tunawashukuru Sana Kwa kazi nzuri mnayofanya kuhakikisha huduma zinakuwa Bora zaidi.
Ingawa tunaamini changamoto nazo huwa hazikosekani hasa kwa kukosa umeme kwa maeneo mengi ya Dar es Salaam.
Binafsi naishi hapa DAR (Chanika), katika ENEO la Chambala. ENEO hili lina wakazi wengi mno...
Wewe uliyetoa hii post ni mwehu sana, natamani upewe BAN kubwa kuliko hata kichwa chako. Jana umetoa post mbili; hii yenye heading "NAUZA MBWA WA BORA WA ULINZI, post nyingine uliandika "MBWA NI MLINZI WA KWELI"
Posts zote mbili umeandika kuwa unauza mbwa na umeweka namba zako hapo. Wengi...
Kipindini cha Kampeni walikuwa na kiherehere kusimama majukwaani kutoa support kwa "kijani" leo ndo wanagundua that was crap.. warudi nyumbani kwao, tena siyo huyo tu, wooote! Ingawa ningewa-caution sana CHADEMA kuitoifanya hii ishu kama ni ya kisiasa. Kama wanataka kumpa support (Lisu being her...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.