Nawaza loud hapa...
Hv rasm ya katiba ikitokea wananch wengi wakaipinga..
Bado naona wanaweza ipitisha kwa kisingizo mbona 1992 weng walikataa democracy lakn busara ikatumika...
Kama vile hakuna umuhm wa kupiga kura...
Nawaza tu hapa....
Kk
m3 kwa akili zake ataenda kuoa mke wa pili....
vi2 vingine siyo vya kuongelea.. wa2 kama kina pawasa mpk sasa wanalalamika walipopata nafac za kwenda nje wakang'ang'ania mpira wakulogana wa tz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.