Recent content by We Trust

  1. W

    Mama mkwe kamtorosha Mke wangu, nifanye nini niko njia panda

    Nenda ustawi wa jamii utoe taarifa.
  2. W

    Mbona kama Dualis zinaanza kushuka?

    Kwa ushauri wako mkuu, ukiwa na kama 22M. Bora uchukue gari gani la juu? Maana nlikua naiwazia hii gari.
  3. W

    Kumbe wachaga hukodi magari mwisho wa mwaka kwenda kufanya show off kwao

    Ni roho mbaya inakusumbua. Si ungeenda na wewe kwenu?
  4. W

    Kujenga nyumba ni ndogo ya kila maskini

    Ukikua utaacha. Ni utoto na roho mbaya inakusumbua.
  5. W

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Man u waliwafanyaje?
  6. W

    Nimeamua niachane na mke wangu sababu muonekano wake haunivutii

    Kama unataka uzuri wa mwili hata huyo utayempata utamuacha tena akibadilika. Nahisi utoto unakusumbua
  7. W

    Hivi DStv wamekosa Watangazaji kweli?

    Weka channel nyingine, 222. Hao ni wanapiga stori wachukue mpunga wao. Wanaboa kinyama.
  8. W

    Hakuna biashara inafilisi kama uchimbaji wa madini

    Nahisi hamtumii vipimo sahihi vyakujua madini yako wapi. Mbona wawekezaji wakubwa wanapga hela? Na kujichanganya kwenye ushirikina kunaongeza matatizo.
  9. W

    Mke wangu na baba yake wanatumiana picha za uchi!

    Daah. Kaongee na baba yake kabsa. Ajue umejua. Mpe talaka yake. Maisha mapya yatakuja. Na mama yake kama yupo ajue.
  10. W

    Amezaa na mume wa mtu, katelekezewa mwanaye

    Aende Ustawi wa Jamii. Mtoto apewe matunzo. Aache uoga, jamaa alee mtoto wake.
  11. W

    Kaka yangu anaelekea kuoa bomu, nimnusuru vipi?

    Acha kihere. Tulia binti ameshabadilika.
  12. W

    Walimu mnaofundisha shule za binafsi mnaishije?

    Uwezo wa kufundisha inaonekana unao. Ulichoenda fanya kule Songwe ungekiendeleza. Either urudi kule au ufanye kama ulvyokua unafanya kule hapo ulipo sasa. Kama uko na mkataba kawashtaki pia.
Back
Top Bottom