Bado ninaendelea na kazi mpaka sasa sijaacha kazi, changamoto kubwa ni kuwa kwa hapa nafanyishwa kazi nje ya masaa ya makubaliano katika mkataba bila malipo yoyote, kingine kila mwaka unapewa mkataba wa mwaka mmoja mmoja, natazamia kupata changamoto nyingine katika kazi na kupewa mkataba wa hali...
Mimi ni kijana wa miaka 28, ninauzoefu wa miaka minne katka masuala ya stores na elimu yangu ni Diploma ya Procurement and supply management, msaada jaman mwenye connection.
Mbali na kusubir vyama vitutee ukweli ni kwamba hawa jamaa hawanaga utu kabisa yaan wanachojari wao ni kazi zao tu ziende bila kuzingatia haki zako za msingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashindwa kujua ni kwanini makampuni mengi utawakuta hawa jamaa ndio mabosi tena hawana utu kabisa katika kusimamia haki za wafanyakazi wao. Serikali iko wapi juu ya waajiri kama hawa tunaoteseka ni sisi wananchi zaidi tupo ndani ya Taifa letu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombe ushauri wana jf mimi ni muajiriwa katika kampuni flani hiv mshahara wangu unakidh maitaji yngu yote tatizo nililonalo ni mzito wa kuweka akiba kwa ajili ya maendeleo ya baadae. Sasa nifanye nn ili tatzo hili liniondoke
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.