Recent content by Wayo

  1. Wayo

    Kama mnamuona Rais Samia ameshindwa kusimamia Katiba na kulinda rasilimali zenu muwaombe Wabunge wamuondoe kwa Ibara ya 46A ya Katiba

    Hilo ni bunge la ccm. Wananchi bado hatupata wabunge wakutuwakilisha.
  2. Wayo

    Uoga wa Watanzania ndio chanzo cha amani Tanzania

    Hii amani inafaida Kwa wanasiasa wezi tu
  3. Wayo

    Historia nyingine kuandikwa na Awamu ya Sita. Mradi mkubwa wa kutoa maji Ziwa Tanganyika kufikia mikoa 6

    Mmeshawaomba kibali DP WORLD kuwa mnataka kutumia maji yao?
  4. Wayo

    Rais Samia kuziba masikio?

    Hakuna taifa liliowahi kukombokewa kwa maombi.
  5. Wayo

    Prof. Kindiki anatoa onyo kwa Odinga dhidi ya dhidi ya maandamano yenye vurugu

    Kwani katiba inasemaje kuhusu maandamano?
  6. Wayo

    Wanahabari wadai kudhalilishwa na Dkt. Stergomena Tax, Waziri wa mambo ya Nje. Mobeto na Shilole wapewa nafasi za Waandishi

    Bora hata amewaita waandishi wa zamani kiufupi nyingi ni madwazi.
  7. Wayo

    Kyela: Wananchi waililia Bandari ya Itungi

    Endeleeni kujipa moyo
  8. Wayo

    Figisu kuzima issue ya Bandari

    Acha kuzungumzia ishu za figisu unazipa nafasi
  9. Wayo

    Nadhani kuhusu issue ya DP WORLD shida kubwa iko kwenye hizi 35% za wazawa

    Tuletee hiyo document iliyoandikwa hizo asilimia 35. Hatutaki siasa kwenye ishu zinazohusu rasilimali zetu.
  10. Wayo

    KWELI Tozo za kutoa pesa kwa wakala na ATM bado hazijafutwa

    Kila nikijaribu kukuelewa point yako nashindwa.
  11. Wayo

    Dkt. Slaa na wenzie kuitisha mkutano wa wananchi Julai 22

    Hata akitulia mawe yatapiga kelele.
Back
Top Bottom